MADEREVA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA AJIRA QATAR
Na Mwandishi Wetu,Dar es Saam MWENYEKITI wa chama cha Mawakala Wanaowatafutia watanzania Kazzi nje ya nchi (TRAA) Bara Abdalla Harid Mohamed amewataka madereva kuchangamkia fursa za nafasi za ajira 1150 za udereva nchini Qatar ambapo jumla ya madereva 900 wanategemewa kutoka Tanzania Bara. Akizungumza na waandishi wa habari jijink Dar es Salaam Mohamed ambaye pia…

