REA YAANZA USAMBAZAJI WA MAJIKO BANIFU 6,692 KATIKA MKOA WA SINGIDA
Na Mwandishi Wetu, Singida WAKALA wa Nishati Vijijini imeanza utekelezaji wa mpango mkakati wa kitaifa wa nishati safi ya kupikia ili kufikia lengo la zaidi ya asilimia themanini 80% ya watanzania ifikapo mwaka 2034 wawe wanatumia nishati safi ya kupikia nishati ambayo ni salama kwa mtumiaji na rafiki kwa mazingira. Akizungumza wakati wa ugawaji wa…

