MHE SALOME:USHIRIKIANO WA WADAU NI MUHIMU KUFIKIA LENGO LA NISHATI SAFI YA KUPIKIA LA 2034

Na Mwandishi Wetu,Arusha Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema Tanzania imepiga hatua kubwa katika utekelezaji wa agenda ya nishati safi ya kupikia, ambapo upatikanaji wa huduma hiyo umeongezeka kutoka asilimia 6.9 mwaka 2021 hadi asilimia 28.6 mwaka 2025. Amesema mafanikio hayo yametokana na uongozi thabiti wa Serikali, ushirikiano wa wadau wa maendeleo, sekta…

Read More

DAWASA, MADIWANI WAJA NA SULUHUSHO CHANGAMOTO YA MAJI UBUNGO

Na Mwamdishi Wetu,Dar es Salaam MADIWANwa Manispaa ya Ubungo wamekubaliana kwa kauli moja na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), wamekubaliana kutafuta suluhu ya changamoto zinazowakabili wananchi na kuweka mikakati itakayosaidia kuimarisha upatikanaji huduma za Maji. Katika kikao hicho kilichoongozwa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ubungo, Mhe Lawrence Mlaki,…

Read More

FILAMU YA KITANZANIA SENTINELS OF ENGARUKA KURUSHWA YOUTUBE JUNI 21

Na Mwandishi Wetu,Arusha KAMPUNI ya Kitanzania ya Ngoteya Wild, inayoongozwa na muandaaji wa makala zenye maudhui ya uhifadhi na wanyamapori @Hans_Cosmas_Ngoteya, imetangaza kuwa filamu yao mpya ya Sentinels of Engaruka ambayo wamefanya kwa kushirikiana na African people and wildlife itaoneshwa rasmi kupitia YouTube channel yao tarehe 21 Juni 2026. Filamu hiyo imechukua zaidi ya miaka…

Read More