MHE SALOME:USHIRIKIANO WA WADAU NI MUHIMU KUFIKIA LENGO LA NISHATI SAFI YA KUPIKIA LA 2034
Na Mwandishi Wetu,Arusha Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema Tanzania imepiga hatua kubwa katika utekelezaji wa agenda ya nishati safi ya kupikia, ambapo upatikanaji wa huduma hiyo umeongezeka kutoka asilimia 6.9 mwaka 2021 hadi asilimia 28.6 mwaka 2025. Amesema mafanikio hayo yametokana na uongozi thabiti wa Serikali, ushirikiano wa wadau wa maendeleo, sekta…

