WANANCHI WAFURIKA SABASABA KUSHUHUDIA MAONESHO YA BIASHARA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WANANCHI wamejitokeza kwa wingi katika Viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam leo Julao 7, 2026 kushiriki na kutembelea Maonesho ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea kuvutia washiriki kutoka ndani na nje ya nchi.Tangu asubuhi, viwanja hivyo vilishuhudia msongamano mkubwa wa wageni waliokuwa wakitembelea mabanda mbalimbali ya taasisi za umma, kampuni…

Read More