WAMILIKI WA VYOMBO VYA MOTO WAHIMIZWA KUKATA BIMA 

Na Aziza Masous,Dar es Salaam KAMPUNI  ya NIC Insurance imewahimiza wamiliki wa vyombo vya moto nchini kuhakikisha wanakata bima ili kujikinga na athari ambazo zitawasababishia hasara zinazoweza kujitokeza pindi yanapotokea majanga au ajali. Akizungumza katika Maonesho ya 50 ya Biashara Dar es Salaam  Sabasaba,Afisa Bima wa NIC Insurance, Iman  Mollel  bima katika vyombo vya moto…

Read Full News

WANANCHI WAFURIKA SABASABA KUSHUHUDIA MAONESHO YA BIASHARA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WANANCHI wamejitokeza kwa wingi katika Viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam leo Julao 7, 2026 kushiriki na kutembelea Maonesho ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea kuvutia washiriki kutoka ndani na nje ya nchi.Tangu asubuhi, viwanja hivyo vilishuhudia msongamano mkubwa wa wageni waliokuwa wakitembelea mabanda mbalimbali ya taasisi za umma, kampuni…

Read Full News