DCEA:TARIME WAMEPUNGUZA KULIMA BANGI KWA ASILMIA 80

Na Mwandishi Wetu,Rorya Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo, amesema kilimo cha bangi katika Mkoa wa Mara kimepungua kwa takribani asilimia 80 kutokana na operesheni endelevu zinazotekelezwa na Serikali katika kukabiliana na uzalishaji wa dawa za kulevya. Akizungumza jana, baada ya kuhitimisha operesheni maalumu zilizofanyika katika…

Read Full News

TANI 3,874,055 ZA SULPHUR ZAPITISHWA NCHINI NDANI YA MIAKA MITANO

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam  MAMLAKA ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) imesema jumla ya meli 112 zenye tani 3,874,055 za sulphur zimeingia nchini  tangu mwaka 2021 ambapo sheria ya kuingiza kemikali hiyo  ilipoanza kufanya kazi. Akizungumza jijink Dar es Salaam leo Julai.24, 2026 wakati wakufungua  kikao cha waingizaji,wahifadhi na wasafirishaji wa kemikali aina sulphur…

Read Full News