WALIOSAFIRISHA SKANKA KWA BASI LA KING MASAI TOURS WAFIKISHWA MAHAKAMANI
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WATUHUMIWA wawili, Amasha Iddi Mrisho (40), mkazi wa Buza, Dar es Salaam na Seleman Juma Ally (32), raia wa Msumbiji, Januari 22, 2026, wamefikishwa kwa mara ya kwanza katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke kujibu tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya aina ya skanka. Akisoma maelezo ya awali ya shtaka…

