KAMATI YA MIUNDOMBINU YAISHAURI SERIKALI KUKIKARABATI CHUO CHA DMI
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeiomba serikali kukiongezea bajeti Chuo Cha Bahari Dar es Salaam (DMI) ili kuweza kufanya ukarabati wa majengo na kukifanya kuwa cha kisasa kwakuwa majengo yaliyopo ni machakavu na hayaendani na hadhi ya chuo hicho. Akizungumza mara baada ya kamati hiyo kutembelea miradi mbalimbali…

