VIONGOZI WA DINI KANDA YA KATI WATAKA AMANI UCHAGUZI MKUU
Na Mwandishi Wetu, Dodoma VIONGOZI wa dini mbalimbali kutoka Kanda ya Kati wamewataka Watanzania kuendelea kulinda amani ya nchi na kujitokeza kwa wingi kushiriki katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025, wakisisitiza kuwa amani ni tunu na urithi wa thamani unaopaswa kulindwa na kila raia. Wito huo umetolewa Oktoba 25, 2025, katika Kongamano la…

