WANANCHI TUNZENI BARABARA KWA KUZIFANYIA USAFI: MHANDISI MATIVILA

Na Mwandishi Wetu,Mwanza NAIBU Katibu Mkuu OR-TAMISEMI anayeshughulikia Miundombinu Mhandisi Rogatus Mativila amewataka wananchi kuhakikisha wanazitunza barabara kwa kuzifanyia usafi ili zidumu kwa muda mrefu. Mhandisi Mativila ameyasema hayo leo wakati wa ziara yake ya ukaguzi wa miundombinu ya barabara zinazosimamiwa na Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) katika wilaya ya Ukerewe mkoani…

Read More

WAKANDARASI MIRADI YA UMEME TANGA ,WATAKIWA KUONGEZA KASI YA HUDUMA KWA WATEJA

Na Mwandishi Wetu,Tanga WAKANDARASi waliopewa zabuni ya kutekeleza miradi mbalimbali ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA, wametakiwa kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa wakati na kwa ubora uliopangwa ili iweze kuwanufaisha wananchi. Rai hiyo imetolewa leo Agosti 31, 2025 wilayani Korogwe na Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Mhe. Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Kingu,…

Read More

REA YAENDELEA KUWAUNGANISHIA UMEME WANANCHI MKOANI MANYARA

Na Mwandishi Wetu,Manyara SERIKALI kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imeendelea kutekeleza miradi ya nishati kwa kuunganisha wateja umeme katika maeneo ya vijijini ili kuboresha na kuhamasisha maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa wananchi mkoani Manyara. Hayo yamebaibishwa leo Agosti 27, 2025 na Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Mhe. Balozi Meja Jenerali Mstaafu…

Read More

UVCCM YAZINDUA MFUMO WA KUSOMA ILANI KIDIGITALI

 Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa,Mohammed Ali Kawaida (MCC) amezindua Mfumo wa kisasa wa   Kijani Ilani Chatbot ambao utaenda  utawarahisishia  vijana kufahamu mambo yaliyofanywa  na serikali    2020-2025  na yanatarajiwa kufanywa  2025-2030 kupitia CCM kwakutumia vifaa vya mawasiliano popote alipo. Akizungumza wakati wa Uzinduzi huo  uliofanya…

Read More

MRADI WA TACTIC KUBADILISHA MANDHARI YA JIJI LA DODOMA

Na Mwandishi Wetu,Dodoma MKURUGENZI Mtendaji wa Jiji la Dodoma, Dkt. Fredrick Sagamiko ameeleza kuwa ujio wa mradi wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) umekuwa na manufaa makubwa kwa kuwa sehemu ya utatuzi wa changamoto mbalimbali katika jiji hilo. Akizungumza katika mahojiano maalum kiongozi huyo amebainisha kuwa miongoni mwa miundombinu inayojengwa ni pamoja na barabara…

Read More

MRADI WA TACTIC WABORESHA MIUNDOMBINU MANISPAA YA TABORA

Na Mwandishi Wetu,Tabora Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora, Dkt. John Pima amesema kuwa kiasi cha shilingi Bilioni 19.9 zilizopelekwa mkoani humo kupitia mradi wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) zimeleta mageuzi makubwa ya kiuchumi na kijamii kwa wananchi mkoani hapo. Akielezea mafanikio hayo, Dkt. Pima amebainisha kuwa miundombinu inayotekelezwa chini ya mradi wa TACTIC…

Read More