TANESCO YATEKELEZA KWA MAFANIKIO PROGRAMU YA “KONEKT UMEME, PIKA KWA UMEME” NCHI NZIMA
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Siku chache baada ya uzinduzi rasmi wa programu maalum ya Konekt Umeme, Pika kwa Umeme uliofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mheshimiwa Albert Chalamila, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeanza kutekeleza kwa mafanikio makubwa zoezi la kuwaunganishia wananchi umeme pamoja na kuwapatia kwa mkopo majiko ya…

