LINDI MBIONI KUWA LANGO KUU LA UCHIMBAJI MADINI

 Na Mwandishi Wetu,Lindi MKOA wa Lindi unatarajiwa kuwa lango kuu la uchimbaji wa madini kutokana na kuonekana kuwa na aina zaidi ya 10 za madini mbalimbali yanayopatikana kwa wingi ikiwemo madini ya kimkakati kama Kinywe (Graphite) na Nickel. Akizungumza katika mahojiano maalum, Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Lindi, Mhandisi Emmanuel Shija amesema utafiti uliofanywa…

Read More

AZAKI KUKUTANA ARUSHA KUJADILI UTAWALA BORA

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam ASASI  za Kiraia (Azaki) zinatarajiwa kukutana kwa siku tano jijini Arusha ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya wiki ya taasisi hizo ambapo miongoni mwa mambo wanayoyatarajia kuyazungumzia ni pamoja na pamoja na Utawala Bora.  Akizungumza jijini Dar es Salaam Leo Mei 22, 2025  Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Foundation For…

Read More

DCEA  YAFYEKA MASHAMBA YA BANGI KONDOA

Na Mwandishi Wetu,Kondoa  Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kushirikiana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Kondoa pamoja na wananchi wa Kata ya Haubi, wamefanikisha operesheni maalum ya kutokomeza kilimo haramu cha bangi katika maeneo ya Hifadhi ya Milima ya Haubi, wilayani Kondoa, mkoani Dodoma. Akizungumza kwa…

Read More

TAWLA ILIVYOPAMBANA KUSAIDIA JAMII KWA MIAKA 35

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam CHAMA Cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) kimesema ndani ya miaka 35 wamefanikiwa kusimamia mambo sita muhimu yakiwemo kuwafikia zaidi ya wananchi milioni saba (7,000,000) kwa kutoa huduma zakisheria. Akizungumza jijini Dar es Salaam leo Mei 20, 2025 katika kuelekea maadhimisho ya miaka 35 ya TAWLA,Mkurugenzi Mtendaji wa chama hicho Tike…

Read More

CG MWENDA ABAINI UKWEPAJI KODI MKUBWA VIWANDANI 

Na Mwandishi Wetu,Pwani KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Juma Mwenda leo tarehe 17.05.2025 amefanya ziara ya kushitukiza kwenye baadhi ya Viwanda vilivyopo wilayani Mkuranga mkoani Pwani na kubaini kuwepo kwa ukwepaji mkubwa wa Kodi unaofanywa na wamiliki wa Viwanda hivyo. Akiwa katika kiwanda cha kuzalisha viatu vya Plastiki maarufu kama Yeboyebo…

Read More

KAILIMA AWAITA WANANCHI WA DAR ES SALAAM KUJITOKEZA KUHAKIKI, KUBORESHA TAARIFA ZAO DAFTARI LA WAPIGA KURA

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MKURUGENZI wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Ramadhani Kailima amewataka wananchi wenye sifa za kupiga kura hapa nchini kujitokeza kwenda kuhakiki na kuboresha taarifa zao kwenye Daftari la Awali la Mpiga Kura lililowekwa kwenye kila Kata kwa ajili ya wananchi kuhakiki taarifa zao kwa usahihi Kailima amezungumza hayo…

Read More