
JAB YATOA MWEZI MMOJA KWA WAANDISHI KUJISAJILI
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam BODI ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imetoa kipindi cha mwezi mmoja kuanzia tarehe Leo 22 Mei, hadi tarehe 21 Juni, 2025 kwa Waandishi wa Habari wote wanaofanya kazi za kihabari nchini, kujisajili kupitia Mfumo wa TAI-Habari, ili kuomba kuthibitishwa na kupewa vitambulisho (Press Card). Taarifa iliyotolewa Leo Mei…