KAPINGA:SERIKALI  INAENDELEA KUTEKELEZA MIRADI YA  UMEME KWENYE MAENEO YA KIMKAKATI 

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa kupeleka umeme kwenye  maeneo ya kimkakati nchini ikiwemo maeneo ya migodi midogo,  maeneo ya uvuvi, Viwanda na  yanayochagiza shughuli za kiuchumi. Kapinga ameyasema hayo leo Mei 14, 2025 bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali la la Mbunge wa…

Read More

WMA YAHAKIKI VIPIMO ASILIMIA 99 YA LENGO

Veronica Simba – WMA  Serikali kupitia Wakala wa Vipimo (WMA) nchini imekagua na kuhakiki vipimo 1,013,859 ambavyo ni sawa na asilimia 99.2 ya lengo la kukagua vipimo 1,022,342 katika mwaka wa fedha 2024/2025. Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, amebainisha hayo bungeni Dodoma leo, Mei 14, 2025 wakati akiwasilisha hotuba ya makadirio ya…

Read More

MSAJILI HAZINA: NI WAKATI WA TANZANIA KUNADI FURSA ZA UWEKEZAJI KIMATAIFA

Abidjan,Ivory Coast   Katika jukwaa kubwa la viongozi wa taasisi za kibiashara barani Afrika, maarufu kama Africa CEO Forum, Tanzania imeendelea kujidhihirisha kama taifa linalochomoza kwa kasi kiuchumi na kuvutia uwekezaji wa kimataifa.  Mkutano huo wa siku mbili ulioanza juzi na  kuhudhuriwa na zaidi ya wawekezaji 2,000, uligeuka kuwa jukwaa muhimu kwa Tanzania kuonyesha mafanikio yake,…

Read More

KAPINGA:ZAIDI YA NYUMBA 800 MTWARA KUUNGANISHWA NA MFUMO WA GESI YA KUPIKIA 

Na Mwandishi Wetu,Dodoma NAIBU Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) inatarajia kuunganisha mfumo wa gesi ya kupikia katika nyumba takribani 865 mkoani Mtwara kwenye maeneo ambayo yana miundombinu ya bomba la gesi. Mhe. Kapinga ameyasema hayo leo Mei 13, 2025 bungeni jijini Dodoma wakati akijibu…

Read More

WACHIMBAJI GEITA WAMPONGEZA RAIS SAMIA KWA MAFANIKIO MAKUBWA YA SEKTA YA MADINI

Na Mwandishi Wetu,Geita WACHIMBAJI na Wafanyabiashara wa Madini wa Mkoa wa Geita wamempongeza Rais Dkt. Samia S. Hassan kwa mafanikio makubwa yaliyopatikana kupitia sekta ya madini katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wake. Hayo yamesemwa jana kwenye mkutano wa hadhara ulioandaliwa na wachimbaji hao katika eneo la mnada wa zamani Katoro,Geita kwa lengo la…

Read More

KAPINGA:SERIKALI INABORESHA  MIUNDOMBINU  KIBITI KUONDOA CHANGAMOTO YA UMEME

Na Mwandishi Wetu,Dodoma Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) inatekeleza miradi mbalimbali ya matengenezo na ukarabati wa njia za kusafirisha na kusambaza umeme katika Wilaya ya Kibiti ili kuondokana na tatizo la kukatika kwa umeme kunakotokana na uchakavu wa miundombinu hiyo. Mhe. Kapinga ameyasema hayo leo…

Read More

KIHENZILE AWATAKA WATALAAM WA LOGISTIKI KUWASAIDIA MADEREVA KUPATA STAHIKI ZAO

Na Aziza Masoud,Dar es SalaamNAIBU Waziri wa Wizara ya Uchukuzi David Kihenzile amezindua rasmi Chama cha Wataalam wa Lojistiki na Usafirishaji Tanzania (TALTA) huku alisisitiza kuangalia maslahi ya madereva likiwemo maslahi ili kuwasaidia wanapopata changamoto kazini. Alisema ni muda sahihi sasa wa chama kukaa chini kuangalia na kupata majibu ya changamoto zilizopo na kuzifanyia maboresho….

Read More