
TRA YAZINDUA DAWATI LA KUWEZESHA BIASHARA NCHINI
Na Mwandishi Wetu,Morogoro MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua rasmi dawati maalum la kuwezesha biashara nchini (Trade Facilitation Desk) litakalokuwa na jukumu la kusimamia ustawi wa biashara kwa nchi nzima. Uzinduzi huo, umefanyika katika Soko Kuu la Chifu Kingalu mjini Morogoro tarehe 16 Agosti 2026 ikiwa ni sehemu ya kutekeleza maelekezo ya Rais wa Jamhuri…