REA YAHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KWA WAJASIRIAMALI SONGWE

Na Mwandishi Wetu,Songwe WAKALA wa Nishati Vijijini (REA) umetoa wito kwa Wajasiriamali Nchini kuchangamkia fursa zinazopatikana kupitia eneo la Nishati Safi ya Kupikia ili kujizalishia kipato sambamba na kuunga mkono Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kwa lengo la kulinda afya na kuokoa mazingira. Mtaalam wa Nishati na Jinsia kutoka REA,…

Read More

TUKITUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA TUTAOKOA HEKTA 400,000 ZA MISITU ZINAZOTEKETEA KWA MWAKA-MJIOLOJIA NSAJIGWA

Na Mwandishi Wetu,Songwe Imeelezwa kuwa matumizi ya nishati isiyo safi ya kupikia si tu yanahatarisha afya bali pia yanachochea uharibifu wa mazingira ambapo takribani hekta 400,000 za misitu hupotea kila mwaka nchini kutokana na ukataji wa miti kwa ajili ya kuni na mkaa, jambo linalochangia kuongezeka kwa ukame na mabadiliko ya tabianchi. Hivyo, Watanzania wameaswa…

Read More

ASILIMIA 80 YA WANANCHI KUTUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA IFIKAPO 2034

Na Mwandishi Wetu,Katavi MKURUGENZi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe, Shamimu Mwariko amesema kutokana na jitihada zinazoendelea kuchukuliwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) katika kutekeleza Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia (2024-2034) ni dhahiri kwamba lengo la 80% ya wananchi kutumia nishati hiyo litafikiwa ifikapo Mwaka 2034. Amesema hayo…

Read More

DKT. BITEKO AZINDUA PROGRAMU YA UGAWAJI MAJIKO YA UMEME KWA BEI YA RUZUKU KWA WAFANYAKAZI WA TANESCO

Na Mwandishi Wetu,Dodoma IMEELEZWA kuwa, matumizi ya nishati safi ya kupikia ni ajenda ya kitaifa inayolenga kuhamasisha wananchi kutumia nishati safi na salama ya kupikia ikiwemo nishati ya umeme. Aidha, takwimu za mwaka 2022 zinaonesha kuwa Watanzania wanaotumia nishati ya umeme kwa ajili ya kupikia ni asilimia 4.2 tu huku ikitajwa kuwa idadi hiyo ni…

Read More

TAWA YASAINI MIKATABA YA UWEKEZAJI MAHIRI YENYE THAMANI YA TZS BILIONI 719

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam KATIKA hatua ya kihistoria na kishindo kwa sekta ya utalii nchini, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), leo Agosti 12, 2025, imesaini mikataba minne ya uwekezaji wa utalii kupitia utaratibu wa Uwekezaji Mahiri (SWICA) na kampuni ya kitanzania ya Uhusiano International…

Read More