KONGAMANO LA KWANZA LA NISHATI SAFI YA KUPIKIA AFRIKA MASHARIKI LAFANYIKA ARUSHA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam  Wadau mbalimbali kutoka Nchi za Afrika Mashariki wamekutana jijini Arusha katika  Kongamano la kwanza Nishati Safi ya Kupikia la Afrika Mashariki linalolenga kujadili masuala mbalimbali yatakayowezesha Jumuiya hiyo kuondokana na matumizi ya Nishati isiyo safi ya kupikia na kwenda kwenye nishati safi ya kupikia. Akimwakilisha Naibu Waziri Mkuu na Waziri…

Read More

TEF YAWATAKA WAANDISHI WA HABARI KUZINGATIA MISINGI YA TAALUMA

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, amewataka waandishi wa habari nchini kuzingatia misingi ya taaluma ya uandishi wa habari kwa kutoa taarifa sahihi, zenye uhalisia na kuepuka matumizi ya picha potofu kutoka mitandaoni. Akizungumza  katika Ofisi za TEF jijini Dar es Salaam, Balile alisema waandishi wanapaswa kutumia…

Read More