
CCM BUMBULI WALIA NA WAGOMBEA WALIOVUNJA TARATIBU ZA KAMPENI
Na Mwandishi Wetu,BumbuliWAKATI Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ikitarajiwa kutangaza rasmi majina ya wagombea ubunge na udiwani watakaokiwakilisha chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa 2025, baadhi ya watia nia wa Jimbo la Bumbuli wameeleza kutoridhishwa na mwenendo wa baadhi ya wenzao katika mchakato wa kampeni. Watia nia hao na wajumbe wamesema kuwa baada…