
UJENZI WA VISIMA VITATU VYA GESI ASILIA KUANZA NOVEMBA
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam MAMLAKA ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA), ipo katika maandalizi wa uchimbaji wa visima vitatu vya gesi asilia mkoani Mtwara kwa lengo la kuongeza zaidi uzalishaji wa nishati hiyo Akizungumza leo Julai 9, 2025 na Mkurugenzi Mkuu wa PURA na Mhandisi Charles Sangweni alipotembelea katika Maonesho ya 49 ya…