
RAIS MWINYI AJIONEA MIFUMO MBALIMBALI BANDA LA OFISI YA WAZIRI MKUU SABASABA
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi leo tarehe 07 Julai, 2025 ametembelea Banda Jumuishi la Ofisi ya Waziri Mkuu lililopo katika Maonesho ya 49 ya Biashara (SABASABA) yanayoendelea Jijini Dar es Salaam. Katika banda hilo, Dkt. Mwinyi ameona mifumo mbalimbali ikiwemo Mfumo wa…