TERENCE KUTEMBELEA VITUO VYA UTALII  ZAIDI YA VITANO BARA NA ZANZIBAR

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam BODI ya Utalii Tanzania (TTB) imempokea bondia mashuhuri  kutoka nchini Marekani  Terence Crawford ambaye atafanya ziara nchini kwa muda wa wiki moja ambapo pamoja na mambo mengine  atatembelea vituo vya utalii zaidi ya vitano vilivyopo Tjanzania Bara na Zanzibar. Akizungumza na waandishi wa habari leo  Mei 24, 2026 Mkurugenzi Mkuu…

Read More

DAWASA YASISITIZA MATUMIZI YA BIDHAA ZA NDANI KUIMARISHA HUDUMA ZA MAJI

Na Mwandishj Wetu,Pwani MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imesema itaendelea kuunga mkono matumizi ya bidhaa zinazozalishwa na wazalishaji wa ndani, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kukuza uchumi wa taifa sambamba na kuimarisha upatikanaji wa vifaa vinavyosaidia utoaji wa huduma ya majisafi kwa wananchi. Kauli hiyo imetolewa na Afisa…

Read More

TTB YAMKARIBISHA BINGWA WA MASUMBWI DUNIANI TERENCE KWA ZIARA YA UTALII WA MICHEZO

Na MwandisMKURUGENZI wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Ephraim Mafuru, amemkaribisha nchini kwa mara ya kwanza bingwa wa masumbwi duniani, Terence Crawford, ambaye katika historia yake hajawahi kupoteza pambano lolote. Ziara hiyo ya wiki moja nchini imeandaliwa kwa ushirikiano kati ya Wizara ya Maliasili na Utalii pamoja na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo,…

Read More

MKURUGENZI WA RASILIMALI WATU TANESCO AWAHAKIKISHIA USHIRIKIANO MAAFISA HUDUMA KWA WATEJA KUBORESHA UTENDAJI

Na Mwandishi Wetu,Dpdo Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala TANESCO, Bi. Beatrice Kimoleta, amewahakikishia Maafisa Uhusiano na Huduma kwa Wateja ushirikiano katika kufanikisha upatikanaji wa nyenzo muhimu zitakazowawezesha kuhudumia wateja kwa ufanisi na ubora wa hali ya juu. Ametoa kauli hiyo Mei 22, 2026 alipokuwa akifunga mkutano mkuu wa mwaka wa maafisa hao uliofanyika kwa…

Read More

KAMATI YA BUNGE YAITAKA SERIKALI KUONGEZA BAJETI YA VIWANDA

Na Asha Mwakyonde, DODOMA KATIKA kipindi ambacho Tanzania inaelekea kwenye mageuzi makubwa ya kiuchumi kupitia Dira ya Taifa 2050, Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeibuka na mapendekezo mazito yanayolenga kuimarisha sekta ya viwanda, biashara na uwekezaji nchini. Kamati hiyo imeitaka Serikali kuongeza bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara…

Read More

TANESCO YAENDELEA KUWAELIMISHA WANAOFANYA SHUGHULI ZA KIUCHUMI KWENYE MIUNDOMBINU YA UMEME

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeendelea kuwasisitiza wananchi wanaofanya shughuli zao za kiuchumi katika miundombinu ya umeme kuondoka katika maeneo hayo kwa hiari, kwa kuwa wanahatarisha usalama wa maisha na mali zao. Akizungumza katika muendelezo wa zoezi la kukagua miundombinu ya umeme Mei 18, katika eneo la Mbagala Zakhem jijini…

Read More