SERIKALI YAANZA UJENZI WA MAABARA YA KISASA YA UPIMAJI SAMPULI ZA MADINI
Na Mwandishi Wetu,Dodoma Kufuatia utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa maabara ya kisasa ya Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST), hatua hiyo inakwenda kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha utoaji wa huduma za maabara ya madini kusini mwa Jangwa la Sahara. Hayo yamesemwa leo tarehe 15 Julai, 2026 na Waziri wa Madini, Mh.Anthony…

