BASI LA KING MASAI TOWERS LAKAMATWA LIKISAFIRISHA SKANKA
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imekamata kilogamu 9,689.833 za dawa za kulevya, pikipiki 11 na magari matatu likiwemo basi aina ya Scania la kampuni ya King Masai Tours, lenye namba za usajili wa nchi ya Msumbiji namba AAM 297 CA. Basi hilo linalofanya safari zake za…

