UVCCM YAZINDUA MFUMO WA KUSOMA ILANI KIDIGITALI

 Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa,Mohammed Ali Kawaida (MCC) amezindua Mfumo wa kisasa wa   Kijani Ilani Chatbot ambao utaenda  utawarahisishia  vijana kufahamu mambo yaliyofanywa  na serikali    2020-2025  na yanatarajiwa kufanywa  2025-2030 kupitia CCM kwakutumia vifaa vya mawasiliano popote alipo. Akizungumza wakati wa Uzinduzi huo  uliofanya…

Read More

MRADI WA TACTIC KUBADILISHA MANDHARI YA JIJI LA DODOMA

Na Mwandishi Wetu,Dodoma MKURUGENZI Mtendaji wa Jiji la Dodoma, Dkt. Fredrick Sagamiko ameeleza kuwa ujio wa mradi wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) umekuwa na manufaa makubwa kwa kuwa sehemu ya utatuzi wa changamoto mbalimbali katika jiji hilo. Akizungumza katika mahojiano maalum kiongozi huyo amebainisha kuwa miongoni mwa miundombinu inayojengwa ni pamoja na barabara…

Read More

MRADI WA TACTIC WABORESHA MIUNDOMBINU MANISPAA YA TABORA

Na Mwandishi Wetu,Tabora Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora, Dkt. John Pima amesema kuwa kiasi cha shilingi Bilioni 19.9 zilizopelekwa mkoani humo kupitia mradi wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) zimeleta mageuzi makubwa ya kiuchumi na kijamii kwa wananchi mkoani hapo. Akielezea mafanikio hayo, Dkt. Pima amebainisha kuwa miundombinu inayotekelezwa chini ya mradi wa TACTIC…

Read More

MRADI WA TACTIS WALETA NEEMA KWA WANANCHI WA SONGEA

Na Mwandishi Wetu, Ruvuma WANANCHI wa Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma, wameanza kunufaika na uboreshaji wa miundombinu kupitia Mradi wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC), unaotekelezwa chini ya Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa mkopo nafuu toka Benki ya Dunia. Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa ya Songea, Wakili Bashir Muhoja, akizungumza manufaa…

Read More

UMEME JUA KUCHOCHEA UCHUMI MAENEO YA VIJIJINI

Na Mwandishi Wetu,Lindi SERIKALI Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imepeleka Mkoani Lindi Mradi wa Umeme Jua wenye thamani ya shilingi milioni 801.74 katika visiwa vyote vitano vilivyopo wilayani Kilwa ikilenga kuongeza upatikanaji wa umeme katika maeneo hayo ambayo yapo mbali na Gridi ya Taifa na kuhamasisha matumizi ya teknolojia…

Read More