PROFESA MBARAWA:UJENZI WA ENEO LAKUHIFADHIA KONTENA UTAONGEZA UFANISI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WAZIRI wa Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa amesema kukamilika kwa ujenzi wa eneo la kuhifadhi kontena lenye sqm 200000 kutaongeza ufanisi kutoka kupokea kontena 8000 hadi 13,000 kwa mwaka. Akizungumza Januari 9 , 2026 katika eneo hilo   lililopo Kurasini ambapo amefanya ziara yakuangalia utendaji kazi wa bandari Profesa Mbarawa alisema ujenzi…

Read More

WAKURUGENZI OFISI YA MSAJILI WA HAZINA WAPIGWA MSASA KWA SIKU TANO

Na Mwandishi Wetu,Pwani Kibaha. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) kwa kushirikiana na Taasisi ya Wakurugenzi Tanzania (IoDT) imeendesha mafunzo maalum ya uongozi na usimamizi kwa Wakurugenzi na Wakurugenzi Wasaidizi wa Ofisi hiyo, yakilenga kuimarisha uwezo wa menejimenti katika kusimamia rasilimali za umma kwa weledi, uwajibikaji na kwa maslahi mapana ya taifa. Mafunzo hayo ya…

Read More

RAIS DK.SAMIA KUFUNGUA SOKO LA KARIAKOO

Na Aziza Masoud,Dar es salaam RAIS Dk.Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara mkoani Dar es Salaam ambapo pamoja na mambo mengine atafungua soko kuu la Kimataifa la Kariakoo ambalo ujenzi wake umekamilika mwishoni mwa mwaka jana. Kufuatia ufunguzi huo wafanyabiashara wa biashara ndogondogo  waliopo katika soko hilo ambao wamefunga njia zakuingilia  kwenye  soko wametakiwa kuondoka…

Read More

JINSI WASICHANA WANAVYOENDELEA KUPAMBANA KATIKA MITIHANI YA KITAIFA

NaAMwandishi Wetud,Dar es Salaam BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA)  limetangaza matokeo ya upimaji wa mtihani wa kidato cha nne huku takwimu ikionesha ufaulu kwa wasichana ni   asilimia 94.26 ya wasichana wote ambapo kati ya watahiniwa 526,620  waliofanya mtihani huo wasichana  278,108 ambao ni watahiniwa wa shule     wamefaulu kwakupata daraja la kwanza mpaka la nne. Akizungumza jijini…

Read More