MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MKUU wa Wilaya ya Ubungo (DC), Mheshimiwa Abert Msando ametembelea na kukagua hali ya huduma ya upatikanaji maji kata ya Mburahati wilayani humo huku akitoa maelekezo kufufuliwa kwa visima vinne katika Kata hiyo na wananchi waanze kupata huduma ya maji. “Leo tumeanza na kata ya Mburahati, tumepita katika visima vinne…
Na Mwandishi Wetu,Dar es WAZIRI maji Mhe.Jumaa Aweso (Mb), amekagua na kujiridhisha na wingi wa Maji yanayoingia katika Mtambo wa Maji Maji Ruvu Juu uliopo Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani ikiwa ni ishara ya kuendelea kuimarika kwa huduma ya Maji. Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amesema hatua hiyo ni jitihada zinazoendelea kutekelezwa na Serikali kupitia Wizara…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MKUU wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo amewataka wenyeviti wa wa serikali ya mtaa wa mkoa huo kuwa walinzi wa miundombinu ya umeme katika maeneo yao. Akizungumza katika kikao kilicho wakutanisha WenyeViti wa serikali za mitaaa pamoja ma Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) jiji la Dar es Salaam kwa niaba…
Na Mwandishi Wetu,Misenyi Mkuu wa Wilaya Misenyi Hamis Mayamba Maiga amewezesha Vijana kibiashara katika Wilaya hiyo kwa kuwapatia Mahema ili kuboresha Mazingira ya kibiashara nakuweza kukuza Uchumi wao. Mradi huo unatekelezwa na TCCIA Wilaya Misenyi kwa ushirikiano na AGRA, ukiwa na lengo la kukuza biashara za mpakani na kuongeza usalama wa shughuli za kiuchumi. Uzinduzi…
Na Mwandishi Wetu,Arusha MWENYEKITI wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Kingu, ametoa rai kwa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kutoa kifaa maalum (Ready boards) ambacho kitawezesha wananchi kusaidia kupunguza gharama kubwa za kuunganisha mfumo wa kupokelea umeme nyumbani (wiring) kwenye miradi ya umeme vijijini….
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SHULE ya Msingi ya Buguruni Viziwi imeibuka mshindi wa kwanza kitaifa katika mashindano ya ubunifu wa elimu ya usalama barabarani kwa mwaka 2025 (VIA Creative 2025), yanayoendeshwa na Kampuni ya Total Energies kwa kushirikiana na TotalEnergies Foundation pamoja na NafasiArt Space. Washindi wa mashindano hayo ambayo yenye lengo la kuhamasisha…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda leo tarehe 13.11.2025 amefanya ziara katika soko la Kimataifa ya Kariakoo jijini Dar es Salaam na kuwahakikishia wafanyabiashara usalama wa biashara zao. Akiwa sokoni hapo Kamishna Mkuu amekutana na viongozi wa wafanyabiashara na wamachinga pamoja na wafanyabiashara wenyewe…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limesema kuwa uchunguzi walioufanya wamebaini kuwa watanzania wanahitaji huduma bora za intaneti lakini za bei nafuu na kuahidi kuendelea kuboresha huduma zao kulingana na uhitaji. Akizungumza wakati wa kuzindua kifurushi kipya cha T-Fiber,Meneja wa Promosheni wa TTCL Janeth Maeda,alisema wameendelea kusikiliza maoni,mahitaji, na matarajio ya…
Na Mwa⁰MBUNGE wa Jimbo la Mtumba Mh. Anthony Mavunde leo ameshiriki na mamia ya wananchi wa Mtaa wa Maseya-Kata ya Hombolo Makulu kuanzisha ujenzi wa Zahanati katika mtaa huo ikiwa ni utekelezaji wa ahadi aliyoitoa wakati wa Uchaguzi Mkuu 2025. “Nawashukuru wananchi wa Maseya kwa kumchagua Rais Samia,mimi na Diwani wa kata yetu kwa kura…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Wakazi mbalimbali wa Jiji la Dar es Salaam na Mkoa wa Pwani wameridhishwa na hali ya huduma ya maji katika maeneo yao inayozidi kuimarika na hawana hofu juu ya usalama wa huduma hii. Upatikanaji huo wa maji unaoridhisha ni mkakati wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es…