
ASILIMIA 80 YA WANANCHI KUTUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA IFIKAPO 2034
Na Mwandishi Wetu,Katavi MKURUGENZi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe, Shamimu Mwariko amesema kutokana na jitihada zinazoendelea kuchukuliwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) katika kutekeleza Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia (2024-2034) ni dhahiri kwamba lengo la 80% ya wananchi kutumia nishati hiyo litafikiwa ifikapo Mwaka 2034. Amesema hayo…