MAMBO:DEMOKRASIA HAIDAIWI KWA VITISHO
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WATANZANIA wameaswa kutofuata mikumbo na kufanya vurugu kwakigezo chakutafuta uhuru wa kisiasa kwakuwa demokra ya kweli haijengwi kwa mashinikizo, vitisho au siasa za misimamo mikali, bali hudaiwa kwakujenga hoja, ushindani wa sera na heshima kwa katiba na sheria za nchi. Akizungumza jijini Dar es Salaam l3o Desemba 23, 2025 aliyekuwa…

