BALOZI SALUM AHIMIZA UBUNIFU KATIKA BIDHAA ZA NDANI
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam KATIBU Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Balozi Waziri Salum, ameitaka Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) pamoja na taasisi nyingine za mafunzo ya ufundi kutumia fursa za maonesho kama jukwaa la kujitangaza na kuonesha ubunifu,ujuzi na teknolojia ili kuongeza thamani ya bidhaa. Kaulo hiyo…

