WIZARA YA NISHATI ENDELEENI KUSIMAMIA UFANISI WA MIRADI YA NISHATI- DED MKALAMA

Na Mwandishi Wetu,Dodoma MKURUGENZI Wilaya ya Mkalama, Mkoani Singida, Asia Juma Messos ametoa wito kwa Wizara ya Nishati kuendelea kusimamia vyema Taasisi zake ili ziendelee kutekeleza miradi ya Sekta ya Nishati kwa ufanisi na hivyo kuleta maendeleo kwa Wananchi. Messos amesema hayo Agosti 6, 2025 wakati alipoitembelea Banda la Wizara ya Nishati na Taasisi zake…

Read More

WMA YAWAONYA WANAOWAPUNJA WAKULIMA

Na Asha Mwakyonde, DODOMA KAIMU Meneja wa Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA),Mkoa wa Njombe, Henry Msambila, ametoa onyo kali kwa wafanyabiashara na watu wote wanaojihusisha na udanganyifu wa vipimo kwa lengo la kuwapunja wakulima, akisema kuwa kitendo hicho ni kosa la jinai na adhabu yake ni faini ya kati ya shilingi 100,000 hadi milioni 20,…

Read More

DKT. MWAISOBWA AKABIDHIWA PRESSCARD

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) Wakili Patrick Kipangula leo amemkabidhi Kitambulisho cha Uandishi wa Habari (Presscard) Dkt. Cosmas Mwaisobwa ambaye ni Msaidizi wa Makamu wa Rais (Hotuba) . Dkt. Mwaisobwa amepokea Kitambulisho hicho leo tarehe 05 Agosti, 2025 baada ya kukidhi vigezo vinavyohitajika…

Read More

WANANCHI WAKARIBISHWA NANENANE KUFAHAMU KWA KINA MPANGO MAHSUSI WA NISHATI 2025-2030

Na Mwandishi Wetu,Dodoma WIZARA ya Nishati imekaribisha wananchi kuendelea kutembelea Banda la Wizara ya Nishati katika Maonesho ya Kimataifa ya Wakulima- NANENANE jijini Dodoma ili kufahamu masuala mbalimbali ikiwemo Mpango mahsusi wa Taifa wa Nishati wa mwaka 2025-2030. Imeelezwa kuwa mpango huo uliosainiwa katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika wa Misheni 300 mwezi…

Read More

VIJANA WA VYAMA VYA USHIRIKA KUNUFAIKA NA MKOPO WA BILIONI 8.5

Na Asha Mwakyonde, DODOMA BENKI ya Ushirika Tanzania (Coop Bank), kwa kushirikiana na Mfuko wa Pembejeo wa Kilimo (AGITIF), imeanza kutoa mkopo wa Shilingi bilioni 8.5 kwa vijana na wanachama wa vyama vya ushirika kutoka maeneo mbalimbali nchini, ikiwa ni hatua ya kuwawezesha wakulima kuongeza tija na uzalishaji mashambani. Akizungumza katika Maonesho ya Wakulima na…

Read More

RAIS SAMIA AWAFUTA MACHOZI YA KUNI AKINA MAMA NCHINI

Na Mwandishi Wetu,Morogoro WAKALA wa Nishati Vijijini (REA) unatekeleza mradi wa shilingi 9,400,799,626.7 wa kusambaza majiko yaliyoboreshwa maarufu kama majiko banifu 200,000 kwa bei ya ruzuku ya asilimia 80 hadi 85 kote nchini. Hayo yamesemwa Agosti 4, 2025 na mwakilishi wa REA Mkoani Morogoro, Mhandisi Cecilia Msangi wakati akimtambulisha Mtoa huduma aliyeshinda zabuni ya kusambaza…

Read More

WANANCHI WAKARIBISHWA BANDA LA WIZARA YA NISHATI NANENANE DODOMA

Na Mwandishi Wetu,Dodoma WIZARA ya Nishati imeendelea kukaribisha wananchi kutembelea Banda la Wizara ya Nishati katika Maonesho ya Kimataifa ya Wakulima (NANENANE) yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma. Fredrick Marwa, Mjiolojia kutoka Wizara ya Nishati amesema katika maonesho hayo Wizara inaeleza kuhusu kazi mbalimbal zinaoendelea kufanyika ikiwemo za utafutaji na uchimbaji wa mafuta na…

Read More

UWEKEZAJI WA DK.SAMIA KWENYE MIUNDOMBINU WAIPA UWEZO NA UBORA TMA KUTABIRI

Na Asha Mwakyonde, DODOMA KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA),Dk. Ladislaus Chang’a ameeleza kuwa ubora wa taarifa zao umeendelea kuongezeka na kuimarika kwa sababu ya uwekezaji mkubwa ambao unafanywa na serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan kwa kuimarisha miundombinu ya uangazi na ya utoaji wa…

Read More