DCEA:KILA ANAYEFANYA BIASHARA YA DAWA ZA KULEVYA  TUTAMFIKIA

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA) imeendelea kutoa tahadhali kwa wafanyabishara wa dawa za kulevya mkono wa sheria utawafikia kwakuwa wamekuwa chanzo kikubwa chakuharibu jamii. Akizungumza leo Julai 5,2025 katika Maonesho ya Biashara ya 49 ya Kimataifa yanayoendelea Sabasaba jijini Dar es Salaam ,Kamishina Jenerali wa Mamlaka…

Read More

GCLA YAWAITA WAJASIRIAMALI WANAOHUSIKA NA KEMIKALI KUJISAJILI SABASABA

MAMLAKA ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GGLA) imewataka wajasiriamali wanaojishughulisha na kemikali kufika katika Maonesho ya 49 ya  Kimataifa Biashara Dar es Salaam (DITF) ili kuweza kupata elimu kuhusu kemikali pamoja na kufanya usajili wa bidhaa hiyo Akizungumza Julai 5, 2025 katika viwanja vya maonesho ya Sabasaba Mkurugenzi wa Huduma za Uchunguzi wa…

Read More

FCC KUENDELEA KUIMARISHA MAZINGIRA YA WAFANYABIASHARA NCHINI

Na Aziza Masoud,Dar es Salaa. KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC) Hadija Juma Ngasongwa amesema taasisi hiyo  imekuwa ikisimamia wawekezaji wa ndani ya nchi kupitia sheria madhubuti  zinazosimamia uwekezaji ili kusaidia kuimarisha sekta ya biashara nchini. Akizungumza na waandishi wa habari  leo Julai 4,  2025 katika banda la FCC katika  Maonesho ya 49…

Read More