
DOYO AWAKUMBUSHA WADAU KUZINGATIA SHERIA YA USAJILI
Na Mwandishi Wetu,Morogoro KATIBU Mkuu wa Chama cha National League for Democracy (NLD), Doyo Hassani Doyo, ametoa rai kwa taasisi na mashirika kuhakikisha wanazingatia sheria za usajili kabla ya kushiriki katika shughuli za kisiasa, hususan kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari mjini Morogoro katika kikao cha Baraza la Vyama…