DOYO AWAKUMBUSHA WADAU KUZINGATIA SHERIA YA USAJILI

Na Mwandishi Wetu,Morogoro KATIBU Mkuu wa Chama cha National League for Democracy (NLD), Doyo Hassani Doyo, ametoa rai kwa taasisi na mashirika kuhakikisha wanazingatia sheria za usajili kabla ya kushiriki katika shughuli za kisiasa, hususan kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari mjini Morogoro katika kikao cha Baraza la Vyama…

Read More

MSAJILI WA HAZINA AONGOZA MAZUNGUMZO YA UWEKEZAJI NA KAMPUNI YA USWISI

Na Mwandishi Wetu,Abidjan MSAJILI wa Hazina,  Nehemiah Mchechu, leo, Mei 14, 2025, ameongoza mazungumzo ya kitaalamu kati ya Serikali ya Tanzania na Bw. Soren Toft, Afisa Mtendaji Mkuu wa Mediterranean Shipping Company (MSC), kuhusu uwekezaji wa kimkakati katika Bandari ya Dar es Salaam na Mangapwani–Zanzibar. Mazungumzo hayo na kampuni ambayo makao yake makuu yapo Geneva,…

Read More

KAPINGA:SERIKALI  INAENDELEA KUTEKELEZA MIRADI YA  UMEME KWENYE MAENEO YA KIMKAKATI 

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa kupeleka umeme kwenye  maeneo ya kimkakati nchini ikiwemo maeneo ya migodi midogo,  maeneo ya uvuvi, Viwanda na  yanayochagiza shughuli za kiuchumi. Kapinga ameyasema hayo leo Mei 14, 2025 bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali la la Mbunge wa…

Read More

WMA YAHAKIKI VIPIMO ASILIMIA 99 YA LENGO

Veronica Simba – WMA  Serikali kupitia Wakala wa Vipimo (WMA) nchini imekagua na kuhakiki vipimo 1,013,859 ambavyo ni sawa na asilimia 99.2 ya lengo la kukagua vipimo 1,022,342 katika mwaka wa fedha 2024/2025. Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, amebainisha hayo bungeni Dodoma leo, Mei 14, 2025 wakati akiwasilisha hotuba ya makadirio ya…

Read More

MSAJILI HAZINA: NI WAKATI WA TANZANIA KUNADI FURSA ZA UWEKEZAJI KIMATAIFA

Abidjan,Ivory Coast   Katika jukwaa kubwa la viongozi wa taasisi za kibiashara barani Afrika, maarufu kama Africa CEO Forum, Tanzania imeendelea kujidhihirisha kama taifa linalochomoza kwa kasi kiuchumi na kuvutia uwekezaji wa kimataifa.  Mkutano huo wa siku mbili ulioanza juzi na  kuhudhuriwa na zaidi ya wawekezaji 2,000, uligeuka kuwa jukwaa muhimu kwa Tanzania kuonyesha mafanikio yake,…

Read More

KAPINGA:ZAIDI YA NYUMBA 800 MTWARA KUUNGANISHWA NA MFUMO WA GESI YA KUPIKIA 

Na Mwandishi Wetu,Dodoma NAIBU Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) inatarajia kuunganisha mfumo wa gesi ya kupikia katika nyumba takribani 865 mkoani Mtwara kwenye maeneo ambayo yana miundombinu ya bomba la gesi. Mhe. Kapinga ameyasema hayo leo Mei 13, 2025 bungeni jijini Dodoma wakati akijibu…

Read More