TRA YAKUSANYA SH TRILIONI 4.13 DESEMBA YAVUKA LENGO LA MAKUSANYO
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imeendelea kuvunja rekodi yake ya ukusanyaji wa wa mapato yatokanayo na kodi ambapo kwa mwezi Desemba pekee imekusanya Sh. Trilioni 4.13 kwa sawa na ufanisi wa asilimia 102.9 ya lengo ambalo lilikuwa ni kukusanya Sh. Trilioni 4.01. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es…

