CHALAMILA AWAHAKIKISHIA WANANCHI USALAMA KIPINDI CHOTE CHA SABASABA
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam IKIWA zimebaki siku mbili kabla yakuanza kwa Maonesho ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama Sabasaba Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amewahakikishia wakazi wa Dar es Salaam usalama wakati wote wa maonesho ili kuwawezesha wakazi wa jiji hilo kufurahia maomesho hayo. Akizungumza leo Juni 25, 2026 wakati…

