MD TWANGE ATOA RAI KWA MAMENEJA TANESCO KUONGEZA KASI YA KUPAMBANA NA WIZI WA MIUNDOMBINU YA UMEME

📌Afungua Mkutano Mkuu wa mwaka wa Mameneja na Wakurugenzi wa Kanda, Dodoma 📌Asisitiza umuhimu wa kuongeza ubunifu katika ukusanyaji wa mapato 📌Awapongeza kwa kazi nzuri na kuendelea kuimarisha mahusiano na wadau Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, ametoa rai kwa mameneja wa TANESCO nchini kusimamia na kupambana kwa nguvu zote…

Read More

NDEJEMBI ATAKA KASI YA UTENDAJI KAZI WA WIZARA YA NISHATI NA TAASISI KUONGEZEKA

📌Lengo ni kukidhi matarajio ya wananchi katika Sekta ya Nishati Na Mwandishi Wetu,Dodoma Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amewataka watendaji na watumishi wa Wizara ya Nishati na Taasisi zake kuongeza kasi ya utekelezaji wa majukumu yao katika mwaka mpya wa fedha 2026/2027 ili kuweza kukidhi matarajio makubwa ya wananchi katika sekta ya nishati. Mhe….

Read More

ZAIDI YA WAFANYABIASHARA 3,752 KUSHIRIKI MAONESHO YA SABASABA MWAKA HUU

Na Mwandishi Wetu,Dar es SalaamZAIDI ya wafanyabiashara 3,752 waliopo nchini pamoja na nchi 23 zinatarajiwa kushiriki Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama Sabasaba yanayoandaliwa na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade) yatayoanza Juni 28 hadi Julai 13 mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 24, 2026 Mkurugenzi Mkuu wa…

Read More

TANZANIA YALENGA KUVUTIA DOLA BILIONI NNE ZA UWEKEZAJI BINAFSI KUIMARISHA SEKTA YA NISHATI

Na Mwandisbi Wetu, Uingereza Serikali ya Tanzania imeeleza dhamira yake ya kuimarisha ushiriki wa sekta binafsi katika maendeleo ya miundombinu ya usafirishaji wa umeme ili kukidhi ongezeko la mahitaji ya umeme na kuharakisha ukuaji wa uchumi wa taifa. Akizungumza katika kikao cha pembeni ya Wiki ya Mazingira ya London (London Climate Week) kilichoandaliwa na Serikali…

Read More

WIZARA YA NISHATI YAENDELEA KUTUMIA NISHATI SAFI EXPO KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

Na Mwamdishi Wetu,Dar es Salaam Wizara ya Nishati inaendelea kutoa elimu ya nishati safi ya kupikia kwa wananchi mbalimbali wanaoshiriki Kongamano la Nishati Safi Expo 2026 linaloendelea jijini Dar es Salaam hatua inayolenga kuimarisha afya za wananchi, kuhifadhi mazingira na kuboresha ustawi wa jamii. Wananchi hao wanaelimishwa kuhusu aina mbalimbali za nishati safi ya kupikia…

Read More

TEMESA YAADHIMISHA MIAKA 20 KWA KUJIPANGA KUONGEZA MAPATO NA TIJA

Na Asha Mwakyonde, DODOMA WAKALA wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA), umeadhimisha miaka 20 tangu kuanzishwa kwake kwa kueleza mafanikio makubwa yaliyopatikana katika utoaji wa huduma za ufundi, usimamizi wa mitambo na maboresho ya miundombinu ya umeme, huku ukiahidi kuendelea kuimarisha ufanisi na kuongeza mchango wake katika maendeleo ya Taifa. Akizungumza katika hafla ya maadhimisho…

Read More