MCHUNGAJI KIMARO:SERIKALI HAIWEZI KUAJIRI WATU WOTE
Na Mwandishi Wetu,Pwani MCHUNGAJI wa Kanisa la Kiinjiri Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kijitonyama Dk. Eliona Kimaro amesema serikali yoyote duniani haiwezi kuajira wahitimu wote katika nchi husika lazima kuwe na miradi ya familia ambayo itaweza kuwasaidia vijana kujiajiri na kuajiri. Kauli hiyo ameitoa leo Machi, 7 2026 mkoani Pwani n wakati wa mahafali ya…

