TUTAJENGA VITUO VYA KUPOKEA NA KUPOZA UMEME KILA WILAYA: WAZIRI NDEJEMBI

Na Mwandishi Wetu,Tabora WAZiRI wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amesema Serikali kupitia Shirika la Umeme nchini (TANESCO) itahakikisha inajenga vituo vya kisasa vya kupokea, kupoza na kusambaza umeme katika kila wilaya ili kuhakikisha umeme unaozalishwa unawafikia wananchi kwa uhakika na kuwawezesha kunufaika na fursa mbalimbali za kiuchumi na kijamii. Mhe. Ndejembi ameyasema hayo Februari 14,…

Read More

ITHIBATI YATAJWA KUIMARISHA UAMINIFU WA SEKTA YA HABARI NA UCHUMI WA VYOMBO VYA UTANGAZAJI

Na Mwandishi Wetu,Dodoma Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imesema utekelezaji wa mfumo wa ithibati kwa waandishi na watangazaji wa habari nchini ni hatua ya kimkakati ya kuimarisha uaminifu, weledi na ushindani wa sekta ya habari katika uchumi wa kisasa unaotegemea taarifa sahihi na zenye kuaminika. Akizungumza katika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa…

Read More

DKT. MWIGULU ATAKA USHIRIKIANO WA KIKANDA KWENYE MAPAMBANO DHIDI YA SARATANI

 Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Afrika haiwezi kushinda vita dhidi ya saratani ikiwa kila nchi itafanya kazi peke yake.  Amesema kuwa ili kufikia malengo ya mapambano dhidi ya saratani, kunahitajika kuwepo kwa ushirikiano wa kikanda na wa bara zima katika utafiti, mafunzo, kubadilishana wataalamu na kubadilishana rasilimali, teknolojia…

Read More

PROFESA MBARAWA:UJENZI WA ENEO LAKUHIFADHIA KONTENA UTAONGEZA UFANISI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WAZIRI wa Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa amesema kukamilika kwa ujenzi wa eneo la kuhifadhi kontena lenye sqm 200000 kutaongeza ufanisi kutoka kupokea kontena 8000 hadi 13,000 kwa mwaka. Akizungumza Januari 9 , 2026 katika eneo hilo   lililopo Kurasini ambapo amefanya ziara yakuangalia utendaji kazi wa bandari Profesa Mbarawa alisema ujenzi…

Read More