TERENCE KUTEMBELEA VITUO VYA UTALII ZAIDI YA VITANO BARA NA ZANZIBAR
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam BODI ya Utalii Tanzania (TTB) imempokea bondia mashuhuri kutoka nchini Marekani Terence Crawford ambaye atafanya ziara nchini kwa muda wa wiki moja ambapo pamoja na mambo mengine atatembelea vituo vya utalii zaidi ya vitano vilivyopo Tjanzania Bara na Zanzibar. Akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 24, 2026 Mkurugenzi Mkuu…

