TANESCO:WANANCHI MSIHOFU KUTUMIA NISHATI YA UMEME KATIKA VYOMBO VYA USAFIRI

MD Twange asema TANESCO inajenga vituo vya kuchajia vyombo hivyo nchi nzima Aeleza mpango wa kusambaza majiko sanifu ya umeme takribani Mil 1 Awapongeza Wafanyakazi kwa ubunifu na jitihada za kuwahudumia wateja kwa ufanisi. Na Mwandishi Wetu,Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, amewaondoa hofu wananchi kuhusu matumizi ya nishati…

Read More

WANANCHI MSIHOFU KUTUMIA NISHATI YA UMEME KATIKA VYOMBO VYA USAFIRI -MD TWANGE

Na Mwandishi Wetu,Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, amewaondoa hofu wananchi kuhusu matumizi ya nishati ya umeme katika vyombo vya usafiri, akisema kuwa TANESCO imejipanga kujenga vituo vya kuchajia vyombo hivyo nchi nzima. Mkurugenzi huyo amesema hayo Juni 19, 2026, alipotembelea banda la TANESCO katika Maonesho ya Wiki ya…

Read More

MD TWANGE AIPONGEZA WIZARA Ya NISHATI KWAKUENDELEA KUBORESHA HUDUMA KWA WANANCHI

Na Mwandishi Wetu,Dodoma Mkurugenzi wa Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, ameipongeza Wizara ya Nishati kwa juhudi zake za kuendelea kuboresha huduma kwa wananchi na kuhakikisha upatikanaji wa huduma za nishati unakuwa wa uhakika katika maeneo mbalimbali nchini. Bw. Twange ametoa pongezi hizo Juni 19, 2026 katika viwanja vya Chinangali, jijini…

Read More