MAKINDA:REA WAMERAHISHA MAISHA YA WANANCHI VIJIJINI
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SPIKA wa Bunge Mstaafu Anne Makinda amewapongeza Wakala wa Umeme Vijijini (REA) kwakupiga hatua kubwa yakuwasaidia wananchi kupitia ubunifu wao wakusambaza umeme vijijini pamoja na nishati safi ya kupikia na kwamba wametoa unafuu wa maisha kwa wananchi hasa wa vijini. Makinda alitoa kauli hiyo alipotembelea katika banda la REA waliopo…

