TANZANIA KUWA NA MASHIRIKA YA UMMA YENYE USHINDANI IFIKAPO 2050

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam IFIKAPO mwaka 2050, Tanzania inajiona kuwa na Mashirika ya umma ya kibiashara yanayoendeshwa kwa uwazi na ushindani, yanayojitegemea na yenye kuleta faida, na yanayovutia uwekezaji huku yakishirikiana kikamilifu na sekta binafsi ili kukuza uchumi. Dhamira hii imeainishwa katika Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 iliyozinduliwa na Mhe. Rais. Dk. Samia…

Read More

ANAYEFANYA KAZI BILA ‘PRESS CARD’ ANAVUNJA SHERIA- Prof. KABUDI

Na Mwandishi Wetu,Arusha WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Palamagamba Kabudi amesema yeyote anayefanya kazi za kihabari bila kuwa na Kitambulisho cha Uandishi wa Habari (Press Card) kinachotolewa na Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari-JAB anavunja sheria ya Huduma za Habari. Waziri Kabudi ametoa kauli hiyo huku akionesha Press Card yake kwenye…

Read More