UJENZI GATI LA ABIRIA KIGOMA KUKAMILIKA SEPTEMBA 2027
Na Mwandishi Weru,Kigoma Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema ujenzi wa Gati jipya la kuhudumia abiria kwenye Bandari ya Kigoma unaendelea vizuri na unatarajiwa kukamilika mwezi Septemba 2027, huku mradi huo wa kimkakati ukigharimu shilingi bilioni 32.5. Prof. Mbarawa amesema hayo mkoani Kigoma baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa gati hiyo, ambapo alieleza…

