MGOMBEA URAIS WA CHAMA CHA NLD DOYO HASSAN DOYO AKABIDHIWA FOMU ZA UTEUZI NA INEC
Na Mwandishi Wetu,Dodoma, MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha National League for Democracy (NLD), Doyo Hassan Doyo, leo Agosti 10, 2025 amefika katika ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kwa ajili ya kuchukua fomu za uteuzi nafasi hiyo kupitia chama chake. Doyo ambaye alikuwa ameambatana na mgombea…

