VYOMBO VYA HABARI VINA NAFASI KULIPONYA TAIFA DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA
Na Mwandishi Wetu,PwaniVYOMBO vya habari vina nafasi kubwa katika kuhamasisha usawa wa kijinsia, kupinga ukatili dhidi ya wanawake na watoto, pamoja na kujenga jamii inayoheshimu haki za binadamu.Hata hivyo, mafanikio ya juhudi hizi yanategemea kwa kiasi kikubwa namna habari zinavyokusanywa, kuandikwa na kuwasilishwa kwa kuzingatia misingi ya uandishi unaojali masuala ya jinsia. Bado safari ni…

