VIJANA WAHAMASISHWA KUCHANGAMKIA FURSA MIRADI YA REA VIJIJINI
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam VIJANA wamehamasishwa kuchangamkia fursa zilizopo katika miradi ya nishati safi ya kupikia pamoja na kuchangamkia fursa za uwepo wa mirasi ya usambazaji umeme maeneo ya vijijini na pembezoni mwa miji kwa kuanzisha biashara na shughuli za kuwaletea maendeleo. Rai hiyo imetolewa Juni 4, 2026 na Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati…

