BODABODA WANAOBEBA MIZIGO MIKUBWA WAONYWA

Na Aziza Masoud, Dar es Salaam JESHI la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani kimekemea tabia ya baadhi ya madereva wa pikipiki kubeba mizigo hatarishi inayozidi ukubwa wa vyombo vyao kama milango, mageti au makabati kwakuwa  inachangia kusababisha ajali za barabarani. Kauli hiyo ameitoa mwanzoni mwa wiki jijini Dar es Salaam na Mkuu wa Usalama Barabarani Chang’ombe,…

Read More

MAHAKAMA KUU DIVISHENI YA BIASHARA,NGUZO YA HAKI,UKUZAJI UCHUMI WA TAIFA

Na Mwandishi Wetu,Dodoma KATIKA mazingira ya sasa ya kiuchumi yanayoendelea kubadilika kwa kasi, upatikanaji wa haki kwa haraka, haki na usawa ni msingi muhimu kwa ukuaji wa uchumi na ustawi wa Taifa. Mahakama Kuu ya Tanzania, kupitia Divisheni ya Biashara, imekuwa chombo mahsusi kilichoanzishwa kwa lengo la kutoa majibu ya haraka na yenye tija katika migogoro ya…

Read More

TANZANIA KUWA NA MASHIRIKA YA UMMA YENYE USHINDANI IFIKAPO 2050

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam IFIKAPO mwaka 2050, Tanzania inajiona kuwa na Mashirika ya umma ya kibiashara yanayoendeshwa kwa uwazi na ushindani, yanayojitegemea na yenye kuleta faida, na yanayovutia uwekezaji huku yakishirikiana kikamilifu na sekta binafsi ili kukuza uchumi. Dhamira hii imeainishwa katika Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 iliyozinduliwa na Mhe. Rais. Dk. Samia…

Read More