UBUNGE NI KAZI YA WATU – DKT. BITEKO
Na Mwandishi Wetu,Bukombe Dk.. Doto Mashaka Biteko leo Agosti 3, 2025 amefika kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Wilaya kuomba ridhaa ya kuchaguliwa kuwa mgombea wa nafasi ya ubunge wa jimbo la Bukombe ikiwa ni sehemu ya utambulisho wa wagombea wa udiwani na ubunge katika kata za Katente, Ng’anzo, Bulangwa, Namonge, Busonzo, Runzewe Magharibi na…

