MARA WARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI YA REA

Na Mwandishi Wetu,Musoma WANANCHI mkoani Mara wamesisitiza kuridhishwa na utekelezaji miradi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), inayotekelezwa nchini kwa lengo la kuwapatia umeme wa gharama nafuu, na wameipongeza Serikali kwa kuwafikishia miradi hiyo muhimu yenye faida kwa uchumi wa Taifa. Pongezi hizo zimetolewa na wananchi kwa Wataalam wa REA waliofika kutoa elimu kwa wananchi…

Read More

DK.MKOKO:WAAJIRI WATHAMINI TAALUMA YA UANDISHI WA HABARI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam BODI ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imesema kama vile Serikali inavyothamini taaluma ya Uandishi wa Habari na Waandishi wenyewe, ndivyo ambavyo waajiri/wamiliki wa vyombo vya habari wanavyotakiwa kuwapa thamani wanayostahili. Akizungumza katika mahojiano na kituo cha Televisheni cha Upendo tarehe 27 Machi, 2025, kwenye kipindi cha Wakeup Calls,…

Read More

RAIS DK.SAMIA MGENI RASMI BARAZA LA EID

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam RAIS Dk.Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Baraza la Eid linalotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam kati ya Machi 31 au Februari Mosi kulingana na kuandamana kwa mwezi. Akizungumza leo Machi 28 mwaka 2025,kwa niaba ya Baraza Kuu la Waislam (Bakwata) na Sheikh Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar…

Read More

DCEA YAMNASA KINARA MIRUNGI,YATEKETEZA EKARI 285.5

Na Mwandishi Wetu,Same MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola, imefanya operesheni maalum wilayani Same, mkoani Kilimanjaro kuanzia Machi 19 hadi 25 mwaka 2025. Katika operesheni hiyo, ekari 285.5 za mashamba ya mirungi zimeteketezwa na watuhumiwa saba (7) wamekamatwa, akiwemo kinara wa biashara haramu ya…

Read More

MIZIGO YAONGEZEKA BANDARI YA DAR ES SALAAM

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam KATIBU Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Profesa Godius Kahyrara amesema kuwa kwasasa katika Bandari ya Dar es Salaam kunaongezeko kubwa la Meli na Mizigo hivyo Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) Kwa kushirikiana na Shirika la Reli (TRC) kuhakikisha wanaboresha Bandari Kavu ya Kwala. Kahyarara ameyasema hayo jana…

Read More