
MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SHIRIKA Umeme Tanzania (TANESCO) kwa mara nyingine tena limeshinda tuzo ya the ”Most improved Organization” eneo la huduma kwa wateja iliyotolewa na Taasisi ya Chartered Institute of Customer Management(CICM). Tuzo hizo zimetolewa 28, Machi 2025 jijini Dar es Salaam ambapo Shirika limepata tuzo hiyo baada ya kufanya maboresho ya kutumia…
Na Mwandishi Wetu,Musoma WANANCHI mkoani Mara wamesisitiza kuridhishwa na utekelezaji miradi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), inayotekelezwa nchini kwa lengo la kuwapatia umeme wa gharama nafuu, na wameipongeza Serikali kwa kuwafikishia miradi hiyo muhimu yenye faida kwa uchumi wa Taifa. Pongezi hizo zimetolewa na wananchi kwa Wataalam wa REA waliofika kutoa elimu kwa wananchi…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WIZARA ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo kupitia Idara ya Habari (Maelezo) kwa kushirikiana na Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imesema uzinduzi wa mfumo wa kidigiti wa usajili wa waandishi habari unatarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi Aprili ama mwanzo wa mwezi Mei, 2025. Taarifa iliyotolewa leo Machi 28 mwaka…
Na Mwandishi Wetu, Arusha Watumishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) leo tarehe 28 Machi, 2025 wameunga mkono kampeni ya upandaji miti iliyozinduliwa rasmi na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda tarehe 15 machi, 2025 kwa lengo la kutunza mazingira na kuboresha mandhari ya mkoa wa Arusha ambao ni kitovu…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam BODI ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imesema kama vile Serikali inavyothamini taaluma ya Uandishi wa Habari na Waandishi wenyewe, ndivyo ambavyo waajiri/wamiliki wa vyombo vya habari wanavyotakiwa kuwapa thamani wanayostahili. Akizungumza katika mahojiano na kituo cha Televisheni cha Upendo tarehe 27 Machi, 2025, kwenye kipindi cha Wakeup Calls,…
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam RAIS Dk.Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Baraza la Eid linalotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam kati ya Machi 31 au Februari Mosi kulingana na kuandamana kwa mwezi. Akizungumza leo Machi 28 mwaka 2025,kwa niaba ya Baraza Kuu la Waislam (Bakwata) na Sheikh Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar…
Na Mwandishi Wetu,Same MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola, imefanya operesheni maalum wilayani Same, mkoani Kilimanjaro kuanzia Machi 19 hadi 25 mwaka 2025. Katika operesheni hiyo, ekari 285.5 za mashamba ya mirungi zimeteketezwa na watuhumiwa saba (7) wamekamatwa, akiwemo kinara wa biashara haramu ya…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam KATIBU Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Profesa Godius Kahyrara amesema kuwa kwasasa katika Bandari ya Dar es Salaam kunaongezeko kubwa la Meli na Mizigo hivyo Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) Kwa kushirikiana na Shirika la Reli (TRC) kuhakikisha wanaboresha Bandari Kavu ya Kwala. Kahyarara ameyasema hayo jana…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) katika hatua ya kujali na kuthamini makundi maalumu katika jamii imetoa msaada wa mahitaji ya kibinadamu katika kituo cha Makao ya Kulea Watoto Yatima, kilichopo mtaa wa Nzasa, Kata ya Kijitonyama Wilaya ya Ubungo. Hatua hiyo ni sehemu ya…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MSAJILI wa Hazina, Nehemiah Mchechu, amewataka watumishi wa ofisi yake kuutumia mwezi mtukufu wa Ramadhani kama nyenzo ya kufanyakazi kwa bidii na maarifa makubwa kwa faida ya Taifa la Tanzania. Mchechu aliyasema hayo Jumatatu, Machi 24, 2025 wakati wa hafla ya iftar kwa watumishi wa ofisi ya Msajili wa Hazina…