
MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salam BENKI ya Biashara Tanzania (TCB) imezindua kampeni mpya ya kitaifa iitwayo “Toboa Kidijitali,” yenye lengo la kuhamasisha matumizi ya mifumo ya kisasa ya kufanya miamala ya kifedha na kuongeza ujumuishi wa kifedha nchini. Kampeni hiyo ambayo ina lengo pia lakurudisha sehemu ya faida katika jamii itadumu kwakipindi cha miezi minne…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SERIKALI kupitia Wizara ya Uchukuzi imezindua rasmi safari za ndege ya Air Tanzania kati ya Dar es Salaam, Tanzania na Kinshasa, DRC ambapo hafla hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali, wawekezaji, na Mabalozi Akizungumza kwenye uzinduzi huo Waziri wa Uchukuzi wa Tanzania, Prof Makame Mbarawa ametoa pongezi kwa Viongozi…
Na Mwandishi Wetu,Arusha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameeleza kufurahishwa kwake na ongezeko la ukusanyaji wa mapato katika kituo cha huduma za pamoja mpakani mwa Tanzania na Kenya cha Namanga. Akizungumza jana Aprili 24, 2025 Namanga mkoani Arusha wakati katika ziara yake ya kutembelea miradi ya maendeleo ikiwa ni…
Na Aziza Masoud,Dar es SalaamMAMLAKA ya Kupambana na Kudhibiti Madawa ya Kulevya (DCEA) kwakushirikiana na vyombo vingine vya dola, wamefanikiwa kuzuia tani 14 za kemikali bashirifu zilizokuwa ziingizwe nchini kinyume cha sheria. Akizungumza na waandishi wa habari jana Jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa DCEA Kamishna Jenerali Aretas Lyimo alisema mpaka sasa operesheni hiyo…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za nishati na Maji (Ewura) imezitaka Kampuni za gesi kuongeza idadi ya mawakala wa usambazaji kwenye maeneo mengi ili kuepusha watu kwenda kununua gesi kwa wauzaji wasio rasmi. Wito huo umetolewa leo Aprili 24, 2025 na Meneja wa Ewura, Kanda ya Mashariki, Mhandisi Nyirabu…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma Serikali imewasilisha mbele ya Bunge vipaumbele vitano vya Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) kwa mwaka wa fedha 2025/26 vinavyolenga kuongeza ufanisi wa taasisi za umma, usimamizi wa rasilimali za umma na kukuza mapato yasiyo ya kodi. Vipaumbele hivyo viliwasilishwa Alhamisi, Aprili 24, 2025 na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango…
Na Mwandishi Wetu,Dar es SalaamWAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kikao kazi cha watendaji wa sekta ya sanaa,Utamaduni, na Michezo nchini kwa lengo la kujadili mipango ya utekelezaji wa sera,ilani,mikakati ya kitaifa na kimataifa katika ngazi ya Miji, Wilaya, Mikoa na Taifa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana…
Faida yaongezeka kwa kasi ni asilimia 31% ya ukuaji kwa mwaka mmoja Na Hubert Kiwale, DAR ES SALAAM BENKI ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imetangaza gawio la kihistoria la Shilingi bilioni 5.58 kwa Serikali ya Tanzania, ongezeko kubwa kutoka Shilingi milioni 850 mwaka uliopita. Hayo yamesemwa leo Aprili 17, 2025 jijini Dar es Salaam…
Na Mwandishi Wetu,Dodomaa MBUNGE wa Jimbo la Vunjo Dkt Charles Kimei ametajwa kuwa kinara wa kuzungumzia mahitaji ya wananchi kwa kuwa miongoni mwa wabunge vinara wa kusema, kuchangia au kuhoji katika kila kikao cha bunge la 12 linalotarajiwa kuvunjwa mwishoni mwa mwezi Juni mwaka huu. Kwa mujibu wa tovuti ya Bunge la Tanzania inaonyesha Dk.Kimei…
Na Mwandishi Wetu, Mwanza NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Mipango na Uwekezaji, Stanislaus Nyongo, ametoa wito kwa sekta binafsi kushiriki kikamilifu katika kupanga na kutekeleza mikakati mbalimbali ya nchi kwani zina mchango mkubwa kwa taifa. Ameyasema hayo leo Aprili 16, 2025 wakati akifungua Mdahalo wa Kitaifa ulioandaliwa na Media Brains kwa kushirikiana na Kituo…