VITONGOJI VYOTE TANZANIA BARA KUWA NA UMEME IFIKAPO MWAKA 2030- WAZIRI NDEJEMBI

📌Ataja miradi kadhaa inayotekelezwa na REA 📌Amshukuru Rais Samia Kinara wa Nishati Safi ya Kupikia 📌Wabunge waimwagia sifa REA Na Mwamdishi Wetu, Dodoma Serikali imedhamiria kuhakikisha vitongoji vyote 64,359 vya Tanzania Bara vinafikishiwa umeme ifikapo mwaka 2030 ili kuchochea kasi ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii vitongojini pamoja na utoaji wa huduma bora katika maeneo…

Read More

SERIKALI YAJIPANGA UPYA SEKTA YA MADINI, YAFUTA LESENI 40 ZISIZOENDELEZWA

Na Asha Mwakyonde,DODOMA SERIKALI kupitia Tume ya Madini imechukua hatua ya kufuta jumla ya leseni 40 za utafutaji wa madini kutokana na wamiliki wake kushindwa kuziendeleza, katika juhudi za kuimarisha usimamizi wa rasilimali za madini nchini na kuhakikisha zinawanufaisha Watanzania kwa tija. Akizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 15, 2026 jijini Dodoma, Waziri wa…

Read More

PROGRAMU YA ‘SEMA NA WAZIRI’ YAFICHUA MAZITO

Na Asha Mwakyonde, DODOMA WANANCHI wengi nchini wameendelea kujitokeza kuwasilisha kero zao moja kwa moja serikalini kupitia mifumo ya kisasa ya mawasiliano, huku migogoro ya ardhi, mirathi na ukatili wa kijinsia vikitajwa kuongoza kwa wingi wa malalamiko. Hatua hiyo imechochea jitihada za serikali kuimarisha upatikanaji wa haki kwa haraka kupitia majukwaa ya kusikiliza na kutatua…

Read More

DCEA YAKAMATA BOTI YENYE SHEHENA YA MIRUNGI IKITOKEA KENYA 

Na Mwandishi Wetu,Pwani MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imefanikiwa kukamata boti ya mwendokasi iliyokuwa ikisafirisha dawa za kulevya aina ya mirungi kutoka Mombasa, Kenya kupitia Bagamoyo, mkoani Pwani ambapo viroba 18 vyenye jumla ya paketi 1,062 za mirungi  vilikamatwa. Dawa hizo zilikamatwa katika operesheni hiyo iliyofanyika usiku wa kuamkia April…

Read More