IZZE RIDE KUFANYA MAPINDUZI SEKTA YA USAFIRI

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam KAMPUNI ya Izze Ride imezindua mfumo mpya wa usafiri mtandaoni ambao unalenga kuleta mapinduzi katika sekta ya usafirishaji pamoja na kuwainua kiuchumi madereva  watakaofanya kazi na mfumo huo. Akizungumza jana Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Izze Ride Fredrick William, alisema ujio wa mfumo huo mpya wa usafiri wa kidijitali unapenga …

Read More

TRA KUWEKA UTARATIBU MPYA WA KUTOA VIBALI VYA KUINGIZA MAFUTA YA KUPIKIA TANZANIA BARA

Na Mwandishi Wetu,Zanzibar KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda amesema Mamlaka hiyo itaanzisha utaratibu mpya wa kuingiza mafuta ya kupikia Tanzania Bara kutoka Zanzibar ili kuwezesha kufanyika kwa biashara halali ya mafuta hayo na kuzuia mafuta ya magendo kuingizwa nchini. Akizungumza na wafanyabiashara wanaoagiza mafuta ya kupikia nje ya…

Read More

TCB KUWAWEZESHA WATANZANIA WENYE NDOTO ZAKIUCHUMI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam BENKI  ya Biashara Tanzania (TCB) imezindua kampeni maalum ya Nina Ndoto nayolenga kuwawezesha Watanzania kufikia ndoto zao kwa kuwapatia suluhisho sahihi za kifedha, hatua inayotarajiwa kuchochea ukuaji wa uchumi na kuongeza ustawi wa jamii. Kampeni hiyo inalenga kuimarisha upatikanaji wa huduma za kifedha kwa makundi mbalimbali ya wananchi, hususan wajasiriamali,…

Read More

WAMILIKI WA LESENI ZA MADINI WAFUNDWA,TUME YASISITIZA UTEKELEZAJI

Na Mwandishi Wetu,Dodoma SERIKALI kupitia Tume ya Madini imeendelea kusisitiza utekelezaji wa sheria na kanuni katika sekta ya madini, ikiwataka wamiliki wa leseni kuhakikisha shughuli za uchimbaji zinawanufaisha watanzania na kulinda maslahi ya taifa. Akizungumza jijini Dodoma kwenye kikao cha wamiliki wa leseni, Kamishna wa Tume ya Madini, Mhandisi Theonestina Mwasha, amesema kipaumbele cha Serikali…

Read More

MCHECHU AZITAKA KAMPUNI AMBAZO SERIKALI INA HISA CHACHE KUKUMBATIA UONGOZI WA KIMKAKATI

Na Mwandishi Wetu,Arusha MSAJILI wa Hazina, Nehemiah Mchechu, ametoa wito kwa wakurugenzi wa bodi na watendaji wakuu wa kampuni ambazo Serikali ina umiliki wa hisa chache kuachana na usimamizi wa kawaida na kuelekea kwenye uongozi wa kimkakati unaotazama mbele. Wito huo umetolewa wakati wa Mkutano wa Wakurugenzi wa Kampuni ambazo Serikali ina hisa hisa chache…

Read More