
MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MGOMBEA urais kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina, amechukua fomu ya kugombea nafasi ya hiyo leo, Septemba 13, 2025, katika ofisi za Tume Huru ya Uchaguzi (INEC), huku akitoa msimamo wa kipekee wa kukataa gari la kampeni aina ya Landcruiser linalotolewa na tume hiyo kwa wagombea. Mpina amekuwa mgombea…
Na Aziza Masoud,Dar es salaam SERIKALI imesema ukosefu wa teknolojia za kisasa,takwimu sahihi na uelewa mdogo wa wananchi kuhusu fursa zilizopo katika uchumi wa buluu ni changamoto kubwa katika sekta ya bahari hivyo imewataka wadau kuzitafutia ufumbuzi. Akizungumza leo Septemba 10, 2025 katika uzinduzi wa Kongamano la Uchumi wa Buluu lililoandaliwa na Chuo cha Bahari…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amekutana na Wataalam kutoka Shirika la Maendeleo la Japan (JICA) ili kujadili hali ya utekelezaji wa miradi ya Nishati inayofadhiliwa na shirika hilo kwa lengo la kuhakikisha kuwa miradi hiyo inatekelezwa kwa wakati na kwa ufanisi. Kikao hicho kimefanyika tarehe 8 Septemba…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam BENKI ya CRDB imetangaza kurudi kwa huduma zake ambazo zilizositishwa kwa takribani saa 72 kutokana na uwekaji wa mfumo mpya wa kibenki (Core Banking System) wenye lengo la kuongeza kasi kubwa zaidi ili kukidhi viwango vya kimataifa. Akizungumza leo Septemba 8, 2025 Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya CRDB Abdulmajid Nsekela…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi imezitaka taasisi na asasi za kiraia zilizopata kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 kutekeleza jukumu hilo kwa ufanisi na weledi. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Kailima Ramadhani leo tarehe…
Na Mwandishi Wetu,Arusha MRADI wa Uendelezaji wa Miji na Majiji Tanzania (TACTIC) unatekeleza miradi yenye thamani ya shilingi bilioni 51 katika Jiji la Arusha ikiwa ni sehemu ya uendelezaji wa Jiji hilo katika eneo la miundombinu ya barabara, masoko na stendi. Hayo yamesemwa na Meneja wa TARURA Wilaya ya Arusha, Mhandisi Godfrey Bwire wakati akitoa…
Na Mwandishi Wetu,ALGERIES MAMLAKA ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli Nchini (PURA) imekutana na kufanya mazungumzo na Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli ya Nchini Algeria (ALNAFT) kwa lengo la kujadili mashirikiano yatakayowezesha, pamoja na mambo mengine, kubadilishana uzoefu na kujengeana uwezo katika eneo la udhibiti wa shughuli za utafutaji na uzalishaji…
Na Mwandishi wetu, Dodoma MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imefanikiwa kumkamata simba jike akiwa hai baada ya mfululizo wa mashambulizi ya wanyama hao kuua zaidi ya mifugo 20 katika Wilaya ya Kondoa, mkoani Dodoma. Simba huyo aliingia kwenye rada za askari wa TAWA majira ya saa 4 usiku, Septemba 6, 2025, katika kijiji…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inapenda kutoa taarifa ya tukio la kupatwa kwa Mwezi linalotarajiwa kutokea tarehe 7 Septemba 2025. Hali ya kupatwa kwa Mwezi ni tukio linalotokea wakati Dunia inapita kati ya Jua na Mwezi na kusababisha kivuli cha Dunia kuwa katika uso wa Mwezi. Aidha, hali…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MKUUU wa Wilaya ya Ubungo (DC), Mheshimiwa Albert Msando amefanya ziara katika mtambo wa uzalishaji maji Ruvu Juu kwa lengo la kuona na kujiridhisha hali ya uzalishaji wa maji katika mtambo huo ambao unahudumia sehemu kubwa ya Wilaya ya Ubungo. Katika ziara yake hiyo aliyoambatana na Kamati ya Ulinzi na…