TASHICO KUKAMILISHA UKARABATI WA MELI YA MV LIEMBA MWISHONI MWA JULAI
Na Mwandishi Wetu, KIGOMA Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema Serikali kupitia Kampuni ya Meli Tanzania (TASHICO) inatarajia kukamilisha ukarabati wa meli ya MV Liemba mwishoni mwa Julai 2026, hatua itakayorejesha huduma muhimu za usafiri na usafirishaji katika Ziwa Tanganyika Prof. Mbarawa amesema hayo mkoani Kigoma baada ya kukagua maendeleo ya ukarabati wa meli…

