TASHICO KUKAMILISHA UKARABATI WA MELI YA MV LIEMBA MWISHONI MWA JULAI

Na Mwandishi Wetu, KIGOMA Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema Serikali kupitia Kampuni ya Meli Tanzania (TASHICO) inatarajia kukamilisha ukarabati wa meli ya MV Liemba mwishoni mwa Julai 2026, hatua itakayorejesha huduma muhimu za usafiri na usafirishaji katika Ziwa Tanganyika Prof. Mbarawa amesema hayo mkoani Kigoma baada ya kukagua maendeleo ya ukarabati wa meli…

Read Full News

MADIWANI KATAVI WAAHIDI KULINDA MIUNDOMBINU YA UMEME

Na Mwandishi Wetu,Katavi Madiwani wa Halmashauri Madiwani Manispaa ya Mpanda na Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi wamesema kwa kushirikiana na Wananchi, watahakikisha wanailinda miundombinu ya Shirika la Umeme Tanzania TANESCO iliyopo Mkoani Katavi kwa nguvu zote ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya umeme bila vikwazo vyoyote. Wamesema hayo Juni 27, 2026 walipotembelea Bwawa…

Read Full News

SERIKALI IMEDHAMIRIA KULETA MAPINDUZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA – NAIBU WAZIRI SALOME

📌Imepunguza kodi kwenye vifaa vya Nishati Safi 📌Lengo ni kuwafikia wananchi wa aina zote. Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Imeelezwa kuwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeweka dhamira ya dhati katika kuleta mapinduzi ya matumizi ya Nishati Safi ya kupikia yanayoongozwa na mkakati wa taifa wa Nishati Safi ya kupikia kwa mwaka 2024-2034…

Read Full News

TASHICO KUKAMILISHA UKARABATI WA MELI YA MV LIEMBA MWISHONI MWA JULAI

Na Mwandishi Wetu,Kigoma Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema Serikali kupitia Kampuni ya Meli Tanzania (TASHICO) inatarajia kukamilisha ukarabati wa meli ya MV Liemba mwishoni mwa Julai 2026, hatua itakayorejesha huduma muhimu za usafiri na usafirishaji katika Ziwa Tanganyika Prof. Mbarawa amesema hayo mkoani Kigoma baada ya kukagua maendeleo ya ukarabati wa meli hiyo,…

Read Full News

BANDARI YA KIGOMA KUHUDUMIA TANI MILIONI MOJA ZA MIZIGO KWA MWAKA IKIKAMILIKA

Na Mwandishi Wetu,Kigoma Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema Bandari ya Kigoma inayoendelea kuboreshwa itakuwa na uwezo wa kuhudumia tani milioni moja za mizigo kwa mwaka mara baada ya kukamilika, hatua inayotarajiwa kuimarisha biashara na usafirishaji wa mizigo kati ya Tanzania na nchi jirani, hususan Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Prof. Mbarawa amesema…

Read Full News

UJENZI GATI LA ABIRIA KIGOMA KUKAMILIKA SEPTEMBA 2027

Na Mwandishi Weru,Kigoma Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema ujenzi wa Gati jipya la kuhudumia abiria kwenye Bandari ya Kigoma unaendelea vizuri na unatarajiwa kukamilika mwezi Septemba 2027, huku mradi huo wa kimkakati ukigharimu shilingi bilioni 32.5. Prof. Mbarawa amesema hayo mkoani Kigoma baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa gati hiyo, ambapo alieleza…

Read Full News

SABASABA YAJA KIDIGITALI ZAIDI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SERIKALI imesema imekamilisha maandalizi ya Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), kwa kuboresha miundombinu na kuanzisha mifumo ya kidijitali ya ununuzi wa tiketi na kuwaongoza wageni kufika katika mabanda mbalimbali, hatua inayolenga kuongeza ufanisi na kuondoa msongamano wa wananchi watakaotembelea maonesho hayo. Akizungumza leo…

Read Full News