SERIKALI YATOA MAELEKEZO NANE KUIMARISHA KAMPUNI AMBAZO ZINA UMILIKI WA HISA CHACHE

Na Mwandishi Wetu,Arsha SERIKALI imetoa maelekezo nane ya kimkakati yanayolenga kuimarisha utendaji wa kampuni ambazo ina umiliki wa hisa chache, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuharakisha safari ya Tanzania kuelekea hadhi ya nchi ya kipato cha kati cha juu kama ilivyo ainishwa kwenye Dira 2050. Dira hiyo inalenga kukuza uchumi wa Tanzania kutoka ukubwa…

Read Full News

REA YATOA ZAIDI YA BILIONI 5 KUZALISHA UMEME WA MAJI LUPALI

Na Mwandishi Wetu,Njombe WAKALA wa Nishati Vijijini (REA), imetoa kiasi cha shilingi bilioni 5.4 kwenye mradi wa kuzalisha umeme wa maji Lupali wenye uwezo wa kuzalisha kilowati 317 unaotekelezwa na shirika la Benedictine Sisters of St. Gertrud Convent Imiliwaha. Hayo yamebainishwa leo Machi 11, 2026 wakati wa ziara ya Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) walipotembelea…

Read Full News

MCHUNGAJI KIMARO:SERIKALI HAIWEZI KUAJIRI WATU WOTE

Na Mwandishi Wetu,Pwani MCHUNGAJI wa Kanisa la Kiinjiri Kilutheri Tanzania (KKKT)  Usharika wa Kijitonyama Dk. Eliona  Kimaro amesema serikali yoyote duniani haiwezi kuajira  wahitimu wote katika nchi husika lazima kuwe na miradi ya familia ambayo itaweza kuwasaidia vijana  kujiajiri na kuajiri. Kauli hiyo ameitoa leo   Machi, 7 2026 mkoani Pwani n wakati wa mahafali ya…

Read Full News