TANZANIA NA UGANDA ZAWEKA HISTORIA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI AFRIKA MASHARIKI (EACOP)

Na Mwandishi Wetu,Tanga WAZIRI wa Nishati na Maendeleo ya Madini wa Uganda, Dkt. Ruth Nankabirwa, ameipongeza Tanzania kwa hatua kubwa iliyofikiwa katika utekelezaji wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), unaotekelezwa kwa ushirikiano kati ya Tanzania na Uganda. Dkt. Nankabirwa ametoa pongezi hizo leo tarehe 6 Januari, 2026 jijini Tanga, wakati…

Read More

MAFANIKIO YA TRA 2025: ULIPAJI KODI WA HIARI, UWEZESHAJI BIASHARA NA MAPINDUZI YA MAKUSANYO YA MAPATO

Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam MWAKA 2025 umeandika historia mpya kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kufuatia mafanikio makubwa yaliyopatikana katika ukusanyaji wa mapato, upanuzi wa wigo wa kodi, na uimarishaji wa mahusiano kati ya TRA na Walipakodi. Mafanikio haya yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na mwelekeo mpya wa utoaji huduma unaolenga ushirikishwaji, elimu, na…

Read More