TANESCO YAFUNGUA UKURASA MPYA WA MATUMIZI YA UMEME NCHINI

📍Yazindua vituo vya kuchajia vyombo vya usafiri vinavyotumia umeme 📍Wananchi kunufaika na mpango wa ukopeshaji wa majiko ya umeme kupitia LUKU Na Mwandishi Wetu, Dodoma Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limezindua mradi wa vituo vya kuchajia vyombo vya usafiri vinavyotumia umeme pamoja na Mpango wa Ukopeshaji wa Majiko ya Umeme kwa Wateja (On-Bill Financing –…

Read More

JE WATOTO WANAPATA NAFASI KUSIKILIZWA WANAYOPITIA?

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam“Tunapokutana na marafiki tunakumbushana kwenda kanisani pamoja, lakini wazazi wetu hawafahamiani sana. Nimefundishwa kuwa makini na watu nisio wajua na kuepuka maeneo hatarishi kama vichaka. Nikihisi mtu ananitia wasiwasi nitatoa taarifa kwa watu wazima au polisi,” hii ni sauti ya mtoto Nick Edward mwenye umri wa miaka tisa. Si ishara nzuri….

Read More

MHE SALOME:USHIRIKIANO WA WADAU NI MUHIMU KUFIKIA LENGO LA NISHATI SAFI YA KUPIKIA LA 2034

Na Mwandishi Wetu,Arusha Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema Tanzania imepiga hatua kubwa katika utekelezaji wa agenda ya nishati safi ya kupikia, ambapo upatikanaji wa huduma hiyo umeongezeka kutoka asilimia 6.9 mwaka 2021 hadi asilimia 28.6 mwaka 2025. Amesema mafanikio hayo yametokana na uongozi thabiti wa Serikali, ushirikiano wa wadau wa maendeleo, sekta…

Read More

DAWASA, MADIWANI WAJA NA SULUHUSHO CHANGAMOTO YA MAJI UBUNGO

Na Mwamdishi Wetu,Dar es Salaam MADIWANwa Manispaa ya Ubungo wamekubaliana kwa kauli moja na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), wamekubaliana kutafuta suluhu ya changamoto zinazowakabili wananchi na kuweka mikakati itakayosaidia kuimarisha upatikanaji huduma za Maji. Katika kikao hicho kilichoongozwa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ubungo, Mhe Lawrence Mlaki,…

Read More

FILAMU YA KITANZANIA SENTINELS OF ENGARUKA KURUSHWA YOUTUBE JUNI 21

Na Mwandishi Wetu,Arusha KAMPUNI ya Kitanzania ya Ngoteya Wild, inayoongozwa na muandaaji wa makala zenye maudhui ya uhifadhi na wanyamapori @Hans_Cosmas_Ngoteya, imetangaza kuwa filamu yao mpya ya Sentinels of Engaruka ambayo wamefanya kwa kushirikiana na African people and wildlife itaoneshwa rasmi kupitia YouTube channel yao tarehe 21 Juni 2026. Filamu hiyo imechukua zaidi ya miaka…

Read More

HUO CHA BAHARI DAR ES SALAAM (DMI) NA CHUO KIKUU CHA BAHARI CHA DALIAN CHA UCHINA(DMU) WASAINI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO

Dalian, China Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kimesaini makubaliano ya ushirikiano na Chuo Kikuu cha Bahari cha Dalian Maritime University (DMU) cha nchini China lengo la makubaliano hayo ni kuimarisha ushirikiano wa kimataifa katika sekta ya elimu ya bahari. Mkuu wa chuo cha DMI, Prof Tumaini ushirikiano uliopo kati ya taasisi hizo mbili…

Read More