RAIS DK.SAMIA KUWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA MATANGI YA MAFUTA KESHO
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam RAIS Dk.Samia Suluhu Hassan anatarajia kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa matangi 15 yakuhifadhia mafuta yenye thamani ya Sh Bilioni 678.6 ambapo ni sehemu ya utanuzi wa bandari wenye lengo la kuongeza ufanisi. Akizungumza leo Machi 2, 2026 jijini Dar es Salaam na waandishi wa habari Waziri wa Uchukuzi…

