NIC:BIMA YA MAJALIWA NJIA SAHIHI YAKUTIMIZA MALENGO YA KIFEDHA

Na Mwandishi Wetu,DodomaWANANCHI wametakiwa kutumia Bima ya Maisha ya Majaliwa kama njia ya kujiwekea akiba na kutimiza malengo ya kifedha ya muda mrefu, huku wakihakikishiwa ulinzi wa familia zao endapo watapata matatizo kabla ya kufikia malengo hayo. Wito huo umetolewa na Afisa Bima wa NIC Insurance, Thecla Mtege, alipokuwa akizungumza na wananchi waliotembelea banda la…

Read Full News

MFUMO MPYA WA BRELA WARAHISISHA USAJILI WA BIASHARA, HUDUMA ZAWAFIKIA WANANCHI NANENANE DODOMA

Na Mwandishi Wetu, DodomaWakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) umesema maboresho ya mfumo wake wa usajili yameongeza ufanisi, uwazi na usalama wa huduma za urasimishaji wa biashara, huku wananchi wakipata fursa ya kujifunza na kupata huduma hizo moja kwa moja katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea viwanja vya Mzunguni, Dodoma. Akizungumza katika maonesho hayo,…

Read Full News

MD TWANGE AWATAKA WANASHERIA WA TANESCO KUENDELEA KUSIMAMIA MAADILI NA TAALUMA

📌 Afungua Jukwaa la Wanasheria wa TANESCO jijini Mwanza 📌 Awasisitiza kutoa ushauri wa kisheria kwa wakati na kulinda maslahi ya Shirika Na Mwandishi Wetu, Mwanza Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, amewataka wanasheria wa shirika kuendelea kusimamia maadili ya taaluma, kutoa ushauri wa kisheria kwa wakati na kulinda maslahi…

Read Full News

SERIKALI NA WAWEKEZAJI & WATOA HUDUMA MIGODINI WAJADILI CHANGAMOTO NA MAFANIKIO KWENYE SEKTA YA MADINI

▪️Rais Samia apongezwa kwa mazingira rafiki ya uwekezaji ▪️ Wadau wapongeza hatua za serikali za kutatua changamoto ▪️Waziri Mavunde awataka Watanzania kuanza ujenzi wa viwanda vya bidhaa za migodini Na Mwandishi Wetu,Dar es salaam Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, amesema Serikali itaendelea kushirikiana na wadau wa sekta ya madini kupitia majukwaa ya majadiliano kwa…

Read Full News

MRADI WA NJIA YA KUSAFIRISHA UMEME WA MSONGO WA KILOVOLTI 400 CHALINZE–DODOMA MBIONI KUKAMILIKA

📌 Wafika asilimia 94 ya utekelezaji wake Na Mwandishi Wetu,Pwani Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema Mradi wa Njia ya Kusafirisha Umeme ya Msongo wa Kilovolti 400 kutoka Chalinze hadi Dodoma uko kwenye hatua za mwisho za utekelezaji wake, huku ujenzi ukiwa umekamilika kwa asilimia 94 na unatarajiwa kukamilika ifikapo Agosti 21, 2026. Akizungumza na…

Read Full News

DHAHABU YENYE THAMANI YA ZAIDI YA BILIONI 1.2 YAKAMATWA IKITOROSHWA

■ Waziri Mavunde ataka mnyororo wote wa utoroshaji wa madini hayo udhibitiwe, ■ Asikitishwa na upotevu wa mapato ya Serikali yatokanayo na vitendo hivyo, ■ Aelekeza wahusika wote wafutiwe leseni na kutoruhusiwa tena kufanya biashara ya madini, ■ Atoa rai kwa wananchi kufanya biashara ya madini kupitia mfumo rasmi Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam, Kufuatia…

Read Full News