WIZARA YA NISHATI YAENDELEA KUTUMIA NISHATI SAFI EXPO KUTOA ELIMU KWA WANANCHI
Na Mwamdishi Wetu,Dar es Salaam Wizara ya Nishati inaendelea kutoa elimu ya nishati safi ya kupikia kwa wananchi mbalimbali wanaoshiriki Kongamano la Nishati Safi Expo 2026 linaloendelea jijini Dar es Salaam hatua inayolenga kuimarisha afya za wananchi, kuhifadhi mazingira na kuboresha ustawi wa jamii. Wananchi hao wanaelimishwa kuhusu aina mbalimbali za nishati safi ya kupikia…

