TRA YAFUNGUA KITUO KIPYA CHA HUDUMA ZA KODI MASAKI DSM
MWENDA AONYA WANAODANGANYA KUWA NA UWEZO KUFUTA MADENI YA KODITRA YAJIVUNIA MFUMO WA IDRAS, KUENDELEA KUTOA ELIMU Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imefungua kituo kipya cha huduma katika eneo la Masaki Dar es Salaam ambacho kipo chini ya mkoa kodi Kinondoni lengo likiwa ni kuendelea kusogesa huduma kwa wananchi na…

