KATIMBA:TUTUMIE NJIA ZA MAZUNGUMZO ZINALETA MATOKEO HARAKA

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam WIZARA ya Katiba na Sheria imewahimiza Watanzania kutumia zaidi njia za mazungumzo ambayo inasaidia kuleta matokeo haraka kwa mfumo wa maridhiano katika kutatua migogoro badala ya kukimbilia mahakamani  ambapo wanatumia muda  mrefu kukamilisha taratibu za kupata haki zao. Wito huo umetolewa na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Zainab Katimba…

Read Full News