PROGRAMU YA ‘SEMA NA WAZIRI’ YAFICHUA MAZITO
Na Asha Mwakyonde, DODOMA WANANCHI wengi nchini wameendelea kujitokeza kuwasilisha kero zao moja kwa moja serikalini kupitia mifumo ya kisasa ya mawasiliano, huku migogoro ya ardhi, mirathi na ukatili wa kijinsia vikitajwa kuongoza kwa wingi wa malalamiko. Hatua hiyo imechochea jitihada za serikali kuimarisha upatikanaji wa haki kwa haraka kupitia majukwaa ya kusikiliza na kutatua…

