TEMEKE YAONGOZA WARAIBU HEROIN DAR ES SALAAM
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Kupambana na Kudhibiti Dawa za Kulevya (DCEA) imesema wilaya ya Temeke ina watu 2500 wanaotumia dawa tiba za methadone kutokana na matumizi ya heroin jambo linalosababisha wilaya hiyo kuongoza kwakuwa na waraibu wengi mkoan Dar es Salaam. Akizungumza katika tamasha la kupinga dawa za kulevya lililofanyika viwanja vya…

