CHALAMILA:VIJANA MSIHARIBU MAISHA KWA PROPAGANDA ZA SIASA
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salàam MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewataka vijana wasiharibu maisha yao kwa siasa na propaganda za chuki, badala yake wajikite katika jitihada kwa kuwa ndio siri pekee ya mafanikio katika maisha yao. Amesisitiza maisha si mepesi kama wengi wanavyodhani, ni magumu na hayako kwenye propaganda ya vinywa…

