DCEA KUSHIRIKIANA NA VETA KUWAPA MAISHA MAPYA WANAOACHA DAWA ZA KULEVYA
Na Aziza Masoud,Dar es Salam MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imesaini makubaliano na Chuo Cha Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi(VETA) kuwasaidia waraibu wa dawa za kulevya wanaopata nafuu kupata elimu ya ufundi stadi kwa bei nafuu katika vyuo vilivyopo nchi nzima. Akizungumza leo Juni 4. 2026 wakati wa kusaini…

