Prof. Mbarawa azindua jengo la muda la abiria kiwanja cha ndege Songea
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Uchukuzi Prof.Makame Mbarawa amezindua jengo la muda la abiria katika Kiwanja cha Ndege cha Songea mkoani Ruvuma chenye uwezo wa kuhudumia abiria 300 kwa wakati mmoja. Prof.Mbarawa amefanya uzinduzi huo katika siku ya kwanza ya ziara ya siku nne mkoani Ruvuma ambapo pamoja na mambo mengine anatarajiwa kitembelea mradi wa…

