ZAIDI YA 95% YA WALIOHUSIKA NA UJENZI BWAWA LA MWALIMU NYERERE NI WATANZANIA- TWANGE

Na Mwandishi Wetu,Rufiji Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Lazaro Jacob Twange, amesema ujenzi wa Bwawa la Kuzalisha Umeme la Mwalimu Nyerere umewezesha Watanzania kupata ujuzi na uzoefu mkubwa katika utekelezaji wa miradi mikubwa, jambo litakalowaongezea uwezo wa kushindana katika soko la ajira ndani na nje ya nchi. Twange amesema hayo leo Jumamosi,…

Read Full News

RAIS DK. SAMIA AWASILI JNHPP

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi na viongozi wengine wakati alipowasili katika eneo la Mradi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP). Rais Samia atazindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) chenye uwezo wa kuzalisha Megawati 2,115 leo…

Read Full News

WANANCHI WAFURIKA KUSHUHUDIA  UZINDUZI WA KITUO CHA KIHISTORIA CHA JNHPP

Na Mwandishi Wetu, Rufiji RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, leo Agosti 22, 2026 anatarajiwa kuzindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP), kilichopo Rufiji, Mkoa wa Pwani. Kutokana na umuhimu wa kituo hicho hasa katika kuendelea kuchechemu sekta ya nishati nchini  kwakupata umeme wa uhakika viongozi mbalimbali…

Read Full News

PROFESA MBARAWA:ENEO LA KUHIFADHIA KONTENA KURASINI KUANZA KAZI NOVEMBA 2026

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WAZIRI wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, amesema eneo jipya la kuhifadhia makontena linaloandaliwa kwa upanuzi wa Bandari ya Dar es Salaam (Port Extension) linatarajiwa kuanza kutoa huduma ifikapo Novemba 2026, hatua inayolenga kupunguza msongamano bandarini na kurahisisha upatikanaji wa mizigo kwa wafanyabiashara. Profesa Mbarawa alisema hayo jana  wakati wa…

Read Full News

WAZIRI KAIRUKI AITAKA TTCL KUONGEZA KASI YAKUUNGANISHA FIBER MAJUMBANI

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angela Kairuki, ameitaka Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kuongeza kasi ya kuwaunganisha wananchi na intaneti ya mkongo wa nyuzi majumbani (FTTH), huku akilenga huduma hiyo kuwafikia nyumba milioni moja ifikapo Juni 2028. Kairuki alitoa agizo hilo leo Agosti 21, 2026 ,jijini Dar…

Read Full News

PROFESA MBARAWA:SERIKALI HAITAKI TAFITI ZINAZOISHIA KWENYE MAKABRASHA

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WAZIRI wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, amewataka watafiti nchini kuhakikisha tafiti wanazofanya katika sekta ya usafiri na usafirishaji zinatoa suluhisho la changamoto halisi, badala ya kuishia kwenye makabrasha na mikutano. Akizungumza leo Agosti 20, 2026  wakati akifungua mkutano wa kimataifa unaohusu usafiri, lojistiki na usimamizi, kuwa mafanikio ya utafiti…

Read Full News

DIRISHA LA USAJILI WA TUZO ZA SERENGETI 2026 KUFUNGULIWA KESHO

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaa. WIZARA ya Maliasili na Utalii imetangaza rasmi kufunguliwa kwa dirisha la usajili kwa wadau wa uhifadhi na utalii kuwania The Serengeti Awards 2026, huku ikiwasisitiza kutumia fursa hiyo kuonyesha kazi, ubunifu na mafanikio yao katika uhifadhi na uendelezaji wa utalii. Dirisha la usajili litafunguliwa kesho Agosti 20, 2026 na kufungwa…

Read Full News

“UKARABATI WA KIWANJA CHA NDEGE KIGOMA WAFIKIA ASILIMIA 67” WAZIRI MBARAWA

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema ukarabati wa Uwanja wa Ndege wa Kigoma umefikia asilimia 67 na unatarajiwa kukamilika Desemba 5, 2026, hatua inayolenga kuimarisha huduma za usafiri wa anga na kuchochea shughuli za kiuchumi mkoani humo Akizungumza na waandishi wa habari Agosti 15, 2026, wakati akikagua maendeleo ya mradi huo,…

Read Full News