TTCL :KIPINDI CHA KUJIENDESHA KWA HASARA KIMEKWISHA
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Maawasiliano Tanzania (TTCL) Moremi Marwa amesema wamefanya mabadiliko makubwa yakimfumo ili waweze kutengeneza faida zaidi kupitia huduma wanazozitoa hivyo kwa sasa kipindi cha kutengeneza hasara kimekwisha na sasa wanajiendesha kisasa zaidi. Marwa ametoa kauli hiyo leo Juni 4, 2026 alipotembelea banda la TTCL katika viwanja…

