TTCL :KIPINDI CHA KUJIENDESHA KWA HASARA KIMEKWISHA

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam MKURUGENZI Mkuu wa Shirika  la Maawasiliano Tanzania (TTCL)  Moremi Marwa amesema  wamefanya mabadiliko makubwa yakimfumo  ili waweze kutengeneza faida  zaidi kupitia huduma wanazozitoa hivyo  kwa sasa kipindi cha kutengeneza hasara kimekwisha na sasa wanajiendesha kisasa zaidi. Marwa ametoa kauli hiyo leo Juni 4, 2026 alipotembelea banda la TTCL katika viwanja…

Read Full News

SERIKALI YAANZA KULINADI ONYESHO LA SITE SABASABA

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam BODI ya Utalii Tanzania (TTB) imesema maandalizi ya Maonesho ya Kimataifa ya Utalii ya Swahili International Tourism Expo (SITE)  yanayotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu yameshaanza na kwamba mpaka sasa  zaidi ya wanunuzi 50 wa huduma za utalii kutoka nchi mbalimbali wameshajisajili. Akizungumza katika maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya…

Read Full News

TANZANIA ,ANGOLA ZATAKIWA KUONGEZA BIASHARA,TISEZA YANADI FURSA YANADI FURSA ZA UWEKEZAJI

Na Mwandishi Wetu Tanzania, Angola zatakiwa kuongeza biashara, TISEZA yanadi fursa za uwekezaji Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Tanzania na Angola zimetakiwa kuongeza kiwango cha biashara na uwekezaji kati ya nchi hizo mbili kwa kutumia fursa zilizopo katika sekta za viwanda, kilimo, nishati na usafirishaji ili kugeuza uhusiano wa muda mrefu wa kidiplomasia kuwa manufaa…

Read Full News

TANZANIA NA URUSI ZAIMARISHA USHIRIKIANO WA UTALII KUPITIA MAKUBALIANO MAPYA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Tanzania na Urusi zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya ushirikiano katika sekta ya utalii, hatua inayolenga kuimarisha uhusiano kati ya nchi hizo mbili na kuongeza fursa za utalii, biashara na uwekezaji. Makubaliano hayo yanaenda sambamba na kuanza kwa safari za moja kwa moja za kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) zinazounganisha…

Read Full News

MHE.SALOME: WANANCHI WANAOPITIWA NA MIUNDOMBINU YA UMEME WAUNGANISHIWE HUDUMA KWA SH. 27,000

Na Mwandishi Wetu, Mara Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeelekeza kuwa wananchi wote ambao wamepitiwa na miundombinu ya umeme lakini bado hawajaunganishiwa huduma hiyo waunganishiwe kwa gharama ya Shilingi 27,000 tu. Mhe. Salome ametoa kauli hiyo leo…

Read Full News

WANANCHI WAJIFUNZA JINSI TEKNOLOJIA YA NYUMBA JANJA (SMART HOUSE) INAVYORAHISISHA KUDHIBITI MATUMIZI YA UMEME

📌 Mfumo wa Smart house humwezesha mtumiaji kudhibiti vifaa vya umeme akiwa popote alipo 📌 inatumia wiring za kisasa zinazoweza kuokoa nyumba na majanga ya moto sambamba na kuongeza ufanisi wa matumizi ya nishati Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Wananchi wanaotembelea Banda la TANESCO katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam…

Read Full News

WIZARA YA NISHATI YAWAHAMASISHA WATOTO KUWA MABALOZI WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Na Mwandishi Wetu,Dodoma Watoto wameaswa kuwa mabalozi wa matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kuunga mkono juhudi za Serikali za kulinda mazingira, kupunguza athari za kiafya zitokanazo na matumizi ya nishati zisizo safi na kufanikisha lengo la Taifa la kuhakikisha asilimia 80 ya Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2034. Wito huo…

Read Full News

MAKINDA:REA WAMERAHISHA MAISHA YA WANANCHI VIJIJINI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SPIKA wa Bunge  Mstaafu  Anne Makinda amewapongeza Wakala wa Umeme Vijijini (REA)  kwakupiga hatua kubwa yakuwasaidia wananchi kupitia ubunifu wao wakusambaza umeme vijijini pamoja na nishati safi ya kupikia   na kwamba wametoa unafuu wa maisha kwa wananchi hasa wa vijini. Makinda alitoa kauli hiyo alipotembelea  katika banda la REA waliopo…

Read Full News